Ps2 inauzwa

Ps2 inauzwa

Kabaizer

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
504
Reaction score
64
Wakuu kwema? Nauza ps2 ina pad moja, inatumia memory haitumii CD ina games ambazo ni saved kama fifa 14, mortal kombat, burnout na bikehill.

Nauza kwa 130k
 
Yaliyotokea Lebanon juzi baada ya vita na Israel tumeona faida ya uraia wa nchi mbili

Hatuombei lakini tazama scenario ya vita Tanzania...watakao faidika ni akina nani?

Hilo la investments nalo halina mpango kwa sababu wakati wa globalization hakuna atakaekwambia kuwa hataki investment na kwa hilo huhitaji kuwa na uraia wa nchi mbili kuinvest...after all nchi ambayo inahitaji investment ndio itakuwa inakulamba miguu

Nakushauri utembelee vibanda vya ps ndio itakuwa raisi kuuza hiyo ps2 coz wanazihitaji sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom