Habari zenu wakuu.
Nimepitia beforward mtandaoni nimeipenda NOAH ambayo ni USD 700.
Naomba msaada wa kujua gharama mpaka naliweka ndani hilo gari ni Tsh ngapi?
Shukrani natanguliza.
Habari ya humu wakuu am Tanzanian live in Nairobi nafanya kazi zote za gypsum kama-
Gypsum partition
Gypsum celling
Acoustic celling.
Nina uzoefu wa muda mrefu pia nimefanya kazi sehemu tofauti...
Nauza fish pond pump pamoja na filter na role line na underlayer. Vote kwa pamoja ni tsh 900,000 kutoka UK.
Role liner in urefu mitre 9 kwa 4
Pump 9000 litter per hour. Na filter 10,000 per...
Habari! nauza shamba liko kijiji cha kisande wilaya ya kondoa,lina ukubwa wa eka 5 kwa bei ya 400,000 kwa eka. linafaa kwa kilimo cha mahindi,alzeti,vitunguu na mazao mengine. karibuni.
Iwe Sony, Hitachi au D Jack,
IWE nzima,
iwe inaonesha PICHA kwa wangavu mzuri (clarity),
Isiwe imechoka,
Na isiwe Na michubuko.
Iwe Bagamoyo au Dar,
Bajeti ni 60,000/=.
Kama upo serious nipm...
kama una sifa zifuatazo tuwasiliane upate kazi ya kukaa counter.
uwe umemaliza form four. jinsia ya kiume.
wasilliana na number hiz kwa maelezo zaidi 0759113895:cheer2:
Habari! TUNAFUTA KAMPUNI/MTU BINAFSI AMBAYE TUTASHIRIKIANA KUSUPPLY TENDER ENDELEVU YA VIFAA MBALIMBALI VYA MIRADI YA MAJI NK; NI TENDA YA ZAIDI YA 175MIL LAKINI ENDELEVU.
Kwa mawasiliano...
click that link am getting my first payment today (usd 485) through western union, not bad deal after just 8 days , my week end is taken care of why not you?
http://jobrize.com/index.php?ref=450601
Wakuu habari za jioni,
Natafuta mashamba ya kununua kwa bei poa, maeneo ya Kibaha au Mkuranga.
Mashamba sharti yawe tambarare na ukubwa usiopungu hekari 30 kwa jumla.
Sihitaji mashamba yenye...
Tanz-ice ni watengenezaji na wauzaji wa barafu kwa ajili ya harusi, mahafali, matamasha, migahawa na pia watu binafsi,
Barafu zetu haziyeyuki kwa haraka , tunatumia mashine maalum kugandisha...
Ndani ya muda mfupi uwezekanao utaondokana na matatizo yote ya ngozi na muonekano wa mwili wako. Uzuri, mvuto, Usafi, Afya na kadhalika.
Karibu kwa wataalam wa urembo na afya ya ngozi, vipodozi...
Unaweza kufanya mwenyewe mAmbo mengi katika computer yako wewe mwenyewe kwa gharama nafuu kabisaaa!
Matatizo kama haya tunaweza kukushauri bure na mengine yanayohitaji gharama utachangia kiasi...