M mongoya JF-Expert Member Joined Feb 16, 2014 Posts 298 Reaction score 120 Oct 30, 2015 #1 Ndugu zangu amani kwenu, Mwenye ufaham na upatikanaji wa viwanja bagamoyo anijuze tafadhali kuhusu bei, ubora wa eneo na details nyingine ili nifanye MAAMUZI MAGUMU Nasubiri maoni wenu wakuu,
Ndugu zangu amani kwenu, Mwenye ufaham na upatikanaji wa viwanja bagamoyo anijuze tafadhali kuhusu bei, ubora wa eneo na details nyingine ili nifanye MAAMUZI MAGUMU Nasubiri maoni wenu wakuu,