okonkwo jr
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 2,419
- 1,739
Kamera ya samsung megapixel 16,zoom 10+ inauzwa.
Mwenye kuitaka ajitokeze.NIKO LINDI WILAYA YA LIWALE
Mwenye kuitaka ajitokeze.NIKO LINDI WILAYA YA LIWALE
Haina model, haina bei, hakuna picha..
inauzwa bei gani anko wangu anahitaji
Ipo wapi Lindi? Basi itakua imechoka hiyo mpaka basi.
Ina miezi nane tu mkuu.
mkuu nimekua mgeni kwenye hii jf hivo sjajua jinsi ya kukufata kwa pm nakuomba unifuate tinaihitaji
inauzwa bei gani anko wangu anahitaji
vp ushauza au bado?
Haina model, haina bei, hakuna picha..
Model ipo sema kama nataka
Mkuu okonkwo Jr, kwakua imeshindikana ku-upload pic bas ni vema ukawaka specifcn zote za hiyo kamera hasa model yake ili mtu alieserious anaweza hata ku-google kabla ya kukupigia ili kupunguza usumbufu usio wa lazima