Viwanja vinauzwa

Viwanja vinauzwa

DarProperty Tz

Senior Member
Joined
Apr 24, 2011
Posts
168
Reaction score
29
Zaidi ya viwanja 50 vinauzwa Vikuruti Kibaha mkoa wa Pwani. Viwanja vina mita za mraba 400, mita 1 ya mraba Tsh 6000 tu. Viwanja vina hati kamili na vitauzwa kwa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali.

Kwa maelezo zaidi na namba za simu bofya; View Property
 

Attachments

  • 1449050128047.jpg
    1449050128047.jpg
    10.7 KB · Views: 271
Ahsante Kwa Taarifa....watu wangenda kujua vipo umbali gani kutoka Barabara kuu ya Morogoro via huduma zipo za Jamii zinapatikana
Ahsante
 
also, let him put here contact details for clarification

thank you
 
Ndugu,
Sisi Darproperty hatuhusiki na mauzo ya viwanja hivyo. Tafadhali piga simu namba 0769115502 utapata maelezo zaidi kuhusu viwanja hivyo kutoka kwa wamiliki na wauzaji wa viwanja hivyo.
Asante.
 
Duu! majanga haya muweka tangazo anasema yeye hausiki na uuzaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom