Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.
Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi...
Hata hivyo, ikiwa unatafuta chaja ya wahusika wengine ambayo inafanya kazi na Google Pixel 9 Pro XL, utahitaji kuhakikisha kwamba inatumia voltage inayohitajika. Baadhi ya chaguo ni pamoja na...
Jina langu naitwa sulesketcher.
Mimi najihusisha na sanaa ya Uchoraji kwa zaidi ya miaka 5 sasa, nimefanya sanaa hii na watu mbalimbali nchini Tanzania ikiwemo na viongozi wakubwa wengi...
Habari wadau wa JF,
Nakodisha shamba maeneo ya Kibiti mkoa wa Pwani huko kwa anayehaji kukodi kwa kilimo aniPM nitampeleka hapo shambani hapaone
Maeneo yale unaweza kulima Ufuta, au chochote...
Tunayo furaha kuwaalika kwenye kongamano maalum kati ya tarehe 27 na 28 September, 2024. Kongamano hili litaongozwa na Apostle Luciana,(Mbezi Beach_Bondeni) kuanzia saa nane Kamili mchana...
BONGO CHICKS COMPANY LTD
:Ni watengezaji na wasambazaji wa mashine za kutotoleshea mayai ya aina zote kwa bei nafuu,chicken feeds,mayai aina zote pamoja na kuku aina zote nchini.
Incubator...
Wadau hamjamboni nyote?
Kwa furaha kubwa nawajulisha kuanza Kwa makambi hapa Kanisa la Waadvetista Wasabato salasala
Nyote mnakaribishwa sana
Vipindi vizuri vyenye kutoa elimu zote za kiroho na...
Habari,
kwa jina naitwa Anderson Mgaya ni kijana mwenye uzoefu na uwezo mkubwa katika Web Development na Application Development. Ikiwa unahitaji tovuti ya kisasa au programu itakayowezesha...
BEI YA KUTUPA
KIWANJA 2376Sqm KIZURI NA KIKUBWA KINAUZWA
_______
MAHALI-NZUGUNI A
_______
UMBALI-8Km toka town
_______
UKUBWA-2376Sqm
_______
DOCUMENT-HATI
_______
BEI-22M (FIXED)
MALIPO YA...
Mashine ni mpya kabisa,haijatumika.
Inafaa kupiga dawa kwenye magugu na kukupiga kwenye miti (mikorosho,miembe n.k) na mazao mbalimbali kuzuia kuvu na wadudu.Na pia kupiga dawa maghalani...
UPDATES MAY 1,2018:
Training hii ni ya bure lakini lazima uwe umejisajiri kwa maana ya SIGN UP kama member wa FXTM ambapo kujisajiri siyo lazima uwatumie.(Wtz tuelewe msingi mkubwa wa forex ni...
Kama mdau wa filamu na series toka mataifa ya nje kama vile USA,CHINA,INDIA nk hofu ondoa.
Kama kuna yoyote unayoitafuta karibu sasa utaipa kwa bei ya kuchangia tu kidogo, wewe tu nitajie list ya...
Habari zenu wadau?
Nilikuwa kwenye process za ujenzi ila kwa bahati mbaya huu mwaka sijauanza vizuri na kiukweli sioni dalili za kuendelea na ujenzi hivi karibuni naona nikiendelea kukaa na hizi...
NIWAACHIE KWA SHINGAPI SASA HII NINANJAA?
NAOMBA 300K
Naomba kwa hii unipe 180k
IPHONE 7 PLUS naomba 220k
👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽 HIYO IMETOKA DUBAI JANA PIA KAMA ZAWADI YANGU ILA NAKUACHIA KAMA OFFA KWA...
Habari , kuelekea msimu wa kilimo pata mashamba heka kwa bei ya laki tatu maeneo ya wilaya ya chamwino vijijini , Pia nina viwanja dodoma mjini maeneo ya veyula vimepimwa tayari bei kuanzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.