Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza laptop HP laptop 17 Processor: 11th gen,Intel tm 1.5 1135. Memory: Ram 16 GB Hard drive: 476 GB Location: Dar es salaam,ilala. Contact: 0756523615 Price: 650,000 tsh.
0 Reactions
1 Replies
456 Views
Wakuu kwema? Natafuta mafuta ya mawese kwa anayeuza mengi bei ya jumla Asanteni
2 Reactions
10 Replies
2K Views
• Direction: Magogoni, mita 300 kutoka Ferry • Plot Area: 300 sqm • Document: Title deed • Price: TZS 70 million . ✓ inatazama barabara kuu ya lami ya Ferry-Kimbiji ✓ mita 100 mpaka baharini ✓...
0 Reactions
0 Replies
315 Views
Wakuu habarini. Nina shida kidogo ya kifedha hivyo nina laptop yangu haiko vizuri kimuonekano, lakini inapiga kazi mwanzo mwisho. Ndio ninayoitumia hata katika kazi zangu za muziki..naiuza kwa...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Vyumba 3 vya kulala 1 Master bedroom 2 Normal bedroom Seble, dinning room,jiko,store, public toilet 2 verandahSawa makadilio haya hapa NYUMBA YA VYUMBA VITATU INA SELF MOJA NA VYUMBA VIWILI VYA...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
hivyo vya piki ni vikubwa 25,000 kwa kiti kimoja kipya ukitaka used 20,000 na hivyo vya chocolate bei yake 20,000 kwa kiti vipyaaa kama ukichukua vingi 19,000 Simu 0743257669 vipo banana...
2 Reactions
4 Replies
813 Views
TULIANZA KUPOST KAZI ZETU HAPA MKATUSAPOTI ASANTENI SANA This mansion contain 5bedrooms, movie theater na family room Plot size 30x30m Design and construction services Call: 0624004650
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Je, unahitaji huduma ya kudownload ya kuaminika na haraka? Niko hapa kukusaidia! Nitashughulikia maombi yako binafsi na kukudownloadia faili unalohitaji kwa bei nafuu kabisa, kisha nitaweka...
0 Reactions
6 Replies
540 Views
Acer gaming pc Still iko good condition,(🚨🔥 (POWERFUL PC) Price 1.2M Bei yakutupa kazi kwenu gamer and editors,code Details 👇🏿 Core i5,2.5ghz 7300hq 7th gen ram16gb ddr4 storage 750gb 1 blur...
1 Reactions
3 Replies
502 Views
Habari wana Jf,Simba Viatu tunajihusisha na uuzaji wa Viatu vya Mtumba (Raba na Mokaz) pia tunauza mapochi ya kike,Walet pamoja na mabegi ya mtumba Grade A Nb: Free derivery arround Dar Es salaam...
2 Reactions
61 Replies
6K Views
Habari , ninauza pallet mahususi kwa ajili ya kubebea mizigo ni imara na zinadumj maana zimetengenezwa na ni mpya Zipo hapa. Moshi mjini Mawasiliano ni. 0672701329 Bei 25,000 kwa kila...
0 Reactions
1 Replies
470 Views
Habari nina kitanda kipya cha chuma kinauzwa Kipo moshi , na pia kuna BED SOFA MPYA , valvet , BED BOX , PALLET BED KAMA ZOTE.........OFISI ZETU ZIPO MOSHI...... MAWASILIANO NI. 0672701329
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Bed sofa ya chuma 5kwa6. Bei nafuu kabisa 250,000 rangi hiyo... Mawasiliano. 0672701329....au.....0756294771.... Asanteee.... Wako katika biashara mtandao...
0 Reactions
1 Replies
556 Views
  • Closed
Habari wandugu, Nina fremu ya kupangisha moshi mjini. Fremu ni kubwa na ni nzuri kwa biashara ya aina yoyote ile na ipo katikati ya mji wetu huu wa moshi Mji tulivuuu kabisa. Usio na shida...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Nyumba (double, 2 in 1) zinapangishwa. Ina master bedroom, sebule na public toilet, na sehemu ndogo kuweka meza ya kupikia. Kodi ni 100,000 kwa mwezi Eneo ni 1 km from Leganga (USA River). Iko...
0 Reactions
6 Replies
505 Views
Ndugu! Shule mpya imeanza na Kuna Nia ya mchakato wa kuagiza t-shirts za shule Shule ipo wilayani Nanyumbu Mtwara Naomba kupewa a, b, c za namna njema ya kupata mtu anayeweza kubeba order ya...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Nauza bottle filling and capping machine, mwenye uhitaji anicheki 0695850507
2 Reactions
8 Replies
513 Views
Utangulizi. Mama Fatma ni mama mwenye nyumba anayeheshimika sana katika kijiji cha Mivumoni. Ana majengo mawili ya kupangisha, ambayo yamejengwa kwa mbao imara na mabati ya kijani. Kila mwezi...
1 Reactions
1 Replies
825 Views
Back
Top Bottom