wadau, hasa wanaoishi Zanzibar naomba msaada wenu,
Nitakuwa Zanzibar kikazi kwa mwaka mmoja kuanzia mwezi wa sita.
Natafuta Nyumba ya kupanga 2 Bedrooms ikiwa master room ni vyema zaidi...
Zipo aina kadhaa za kutengeneza CHAKI kulingana na uwezo wa mtu binafsi.
Kwa kijana mjasiriamali unaweza kuanza na mashine ndogo na baadae ukishakuza mtaji unaweza kutafuta mashine kubwa zaidi...
Habari wana JamiiForums,
Kuna kitabu changu ninakiandika, na bado kidogo kukimalizia. Nataka kujua ni utaratibu gani niufuate ili niweze kukiingiza sokoni na pia nahitaji kujua gharama za...
Wana JF za kazi? Naomba msaada wenu kuna Idhaa ngapi za kimataifa za Kiswahili duniani. Naomba mnisaidie kuzitaja na nchi zilipo. nafanya utafiti. Na kwa walioko katika Funga nawatakia Saum Maqbull
Nunua kiwanja kwa bei chee.
Mbezi Msakuzi Makabe 18×22 kiwanja kina nyumba kuu kuu ya vyumba 3 bei mln 20
Kiluvya Gogoni 22×25 bei mln 9
Kiluvya kwa Komba 20×20 mln 6
Kiluvya kwa Sumaye...
Hi
Ni router za ukweli sana hauhitaji router ya kila kampuni insupport mtandao wowote ule online kama unapata si chini ya 200,000 hata kwenye soko la china..
Mimi nauza nusu bei yaani 120,000...
Hotel Amenities kwa nusu bei!!! Tunauza Bidhaa za kipekee za kisasa.
(International Standards) Zimetengenezwa mahsusi kwa Hoteli za Nyota 3 na kuendelea. Tunazo Dental kits(Mswaki na dawa yake)...
Tofauti Kati ya Mji Mdogo (Township Authority) na Mji Kamili (Town Council)
Mji mdogo (Township Authority) na mji kamili (Town Council) ni ngazi mbili tofauti za utawala wa miji, zenye mamlaka na...
Nauza gari aina ya IST namba CLW
Bei ni mil 6.6 (inapungua kidogo)
Gari ni nzima sana
Napatiakana Shekilango nyuma ya ofisi za Shabiby na mawasiliano ni: 0659781878
Madalali plz hapa si mahala...
Looking for a serene yet central place to stay while in Arusha? Welcome to Parrot Hotel Arusha, where luxury meets affordability. Whether you're in town for business, safari, or a relaxing...
5 bedrooms,1 master bedroom
Ina kisima cha maji safi na tank lake
Eneo sqm 1000
Parking space ya kutosha ata gari 8
Title deed
Bei 190m mazungumzo
More details 0715877076
Ina fremu 8 na vyumba vi5
Ipo opposite na mwendokasi
Imegusa barabara kubwa ya lami
Eneo sqm 400
Clear title deed
Bei 800m mazungumzo
More details 0715877076
Tunatafuta eneo lililo karibu na barabara kwa ajili ya kuhifadhi mchanga, matofali, na vifaa vingine vya ujenzi. Tunatafuta mtu mwenye eneo na ambaye yuko tayari kushirikiana nasi kwa makubaliano...
Wakuu,
Ninatafuta mashine ya kutengenezea juice ya miwa. Kama unafahamu inapatikana wapi nakuomba unielekeze. Preferably ndani ya mipaka ya Dar es Salaam.
Natanguliza shukrani.
Habari?
Je unahitaji BUSINESS CARDS? wasiliana nami leo niweze kukufanikishia..
Business cards 100 kwa Tsh 25,000/= tu
UNAHITAJI VIPEPERUSHI?
Kwa mahitaji ya Vipeperushi pia unaweza wasiliana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.