Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jamani natafuta kiko (mtemba wa kuvutia tumbaku). Babu yangu anasema atanipa laana nisipomletea. Nimejitahidi kumweleza madhara ya tumbaku lakini kasema ameanza kuvuta tangia zama hizo. Kiko chake...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Hii huduma naitoa kwa mdau yeyote, popote alipo Tanzania, kwa gharama nafuu kulingana na wazo la mradi wake. Uwekezaji wowote wa rasilimali zako binafsi au za mkopo au za ruzuku/msaada unahitaji...
1 Reactions
2 Replies
365 Views
Mtende is a beautiful area located in Zanzibar, known for its stunning white sandy beaches, crystal-clear blue waters, and serene natural surroundings. Visitors to Mtende can immerse themselves in...
1 Reactions
57 Replies
4K Views
Umuofia kwenu! Since when do women speak in Mvoutese! Things Fall Apart. Wakuu natafuta gari aina ya Honda Fit. Kama kuna mtu unamjua anauza nijulishe. Gari iwe kwenye hali nzuri, maana...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaj gari used Runx nyeus No D kwa anaeuza anichek DM nipo Dom.
1 Reactions
0 Replies
313 Views
Nimesikia kwa juu juu tu ukiwa na account katika benk ya ABSA unapata riba kila mwezi kutokana na salio lako lakini pia wanatoa mkopo low condition. Pia unapewa kadi papo kwa papo. Kwa yeyote...
5 Reactions
87 Replies
3K Views
Habari wadau, nauza tiketi zangu za Sgr Dom - Moro leo jioni na Dar -Dom jumapili 18 Agosti 24 treni ya jioni pia, nimepata dharura nimehairisha safari kama yupo mtu interested naweza kumuuzia kwa...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
PLOTS FOR SALE Total Size – 4000Sqm Price – 360,000,000 TZS Location – Mtaa (Sala Sala ) Kata (Wazo ) Barabara (Flamingo Road) Wilaya ( Kinondoni ) Title Deed – Under process Residential Purpose...
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Zinauzwa kama zilivyo Price 500,000/= Tabata Dar es salaam 0757187238
0 Reactions
1 Replies
263 Views
KARIBUNI WATEJA AGIZA PIKIPIKI BOXER 125 KWA 2200000 TU PIKIPIKI NI MPYA UTAPATA NDANI YA SIKU 15 UNALIPIA MILIONI 1850000 PIKIPIKI YAKO IKIFIKA UTALIPIA PESA ILIYOBAKI KAMA USAFIRI NA KODI...
0 Reactions
8 Replies
650 Views
Kiwanja Kiko balili mjini wilayani bunda mkoani Mara. Kina Ukubwa wa 29 KWa 28 KWa kuhesabu hatua au tambo za miguu na kimepimwa na halimashauri.mnunuzi atalazimika kufatilia offer kisha hati...
0 Reactions
2 Replies
373 Views
1. Ipo karibu na Open University ukubwa wa eneo hatua 12*8 = Bei Mil34 2. Ipo Kinondoni shamba karibu na Muslim, ukubwa wa eneo 20*12= Bei Mil 52 3. Ipo Kinondoni shamba ukubwa wa eneo 16*12 =...
1 Reactions
4 Replies
556 Views
Habari za majukumu! Nategemea kuvuna matikiti mwezi huu wa 8 tarehe 24-25, shamba lipo mkulanga, unaruhusiwa kutembelea shambani muda wowote kuangalia na kufanya makubaliano muda wowote kuanzia...
1 Reactions
12 Replies
740 Views
Service is temporarily suspended.
0 Reactions
0 Replies
351 Views
Habari za wakati huu, Nategemea kuvuna matikiti yangu Jumamosi hii tarehe 7, naomba kama kuna muhitaji / Dalali au anayeweza kunipa connection ya kuuza naomba saana msaada wenu. Nimelima...
1 Reactions
4 Replies
693 Views
Toyota rumion Cc 1490 Year 2007 Price 16milion Call 0686475568
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Nahitaji Either Prius au Aqua moja. Anayeuza anicheki. iwe kwenye hali nzuri. na usajili uwe na E. Offa 15m Inbox
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji kununua mashine ya Selcom nipo dar es salaam iwe imeungwanisha na nbc, muuzaji serious anitext inbox
2 Reactions
12 Replies
994 Views
Kuna hivyo vya aina kama blue bahari 9500/= alafu Sina hiyo nyingine kama blue iliyokolea 8500/= Ni hasara but inabidi nifanye hivyo. Njoo inbox USSR
0 Reactions
9 Replies
874 Views
Timberland loafers boat brown leather nilipatiwa kama zawadi tu sijakipenda == price 38,000 ( size 41 { au 10 } )
1 Reactions
27 Replies
1K Views
Back
Top Bottom