Hii huduma naitoa kwa mdau yeyote, popote alipo Tanzania, kwa gharama nafuu kulingana na wazo la mradi wake.
Uwekezaji wowote wa rasilimali zako binafsi au za mkopo au za ruzuku/msaada unahitaji...
Mtende is a beautiful area located in Zanzibar, known for its stunning white sandy beaches, crystal-clear blue waters, and serene natural surroundings. Visitors to Mtende can immerse themselves in...
Umuofia kwenu!
Since when do women speak in Mvoutese!
Things Fall Apart.
Wakuu natafuta gari aina ya Honda Fit. Kama kuna mtu unamjua anauza nijulishe.
Gari iwe kwenye hali nzuri, maana...
Nimesikia kwa juu juu tu ukiwa na account katika benk ya ABSA unapata riba kila mwezi kutokana na salio lako lakini pia wanatoa mkopo low condition. Pia unapewa kadi papo kwa papo.
Kwa yeyote...
Habari wadau, nauza tiketi zangu za Sgr Dom - Moro leo jioni na Dar -Dom jumapili 18 Agosti 24 treni ya jioni pia, nimepata dharura nimehairisha safari kama yupo mtu interested naweza kumuuzia kwa...
PLOTS FOR SALE
Total Size – 4000Sqm
Price – 360,000,000 TZS
Location – Mtaa (Sala Sala )
Kata (Wazo )
Barabara (Flamingo Road)
Wilaya ( Kinondoni )
Title Deed – Under process
Residential Purpose...
KARIBUNI WATEJA AGIZA PIKIPIKI BOXER 125 KWA 2200000 TU
PIKIPIKI NI MPYA UTAPATA NDANI YA SIKU 15
UNALIPIA MILIONI 1850000 PIKIPIKI YAKO IKIFIKA UTALIPIA PESA ILIYOBAKI KAMA USAFIRI NA KODI...
Kiwanja Kiko balili mjini wilayani bunda mkoani Mara. Kina Ukubwa wa 29 KWa 28 KWa kuhesabu hatua au tambo za miguu na kimepimwa na halimashauri.mnunuzi atalazimika kufatilia offer kisha hati...
1. Ipo karibu na Open University ukubwa wa eneo hatua 12*8 = Bei Mil34
2. Ipo Kinondoni shamba karibu na Muslim, ukubwa wa eneo 20*12= Bei Mil 52
3. Ipo Kinondoni shamba ukubwa wa eneo 16*12 =...
Habari za majukumu!
Nategemea kuvuna matikiti mwezi huu wa 8 tarehe 24-25, shamba lipo mkulanga, unaruhusiwa kutembelea shambani muda wowote kuangalia na kufanya makubaliano muda wowote kuanzia...
Habari za wakati huu,
Nategemea kuvuna matikiti yangu Jumamosi hii tarehe 7, naomba kama kuna muhitaji / Dalali au anayeweza kunipa connection ya kuuza naomba saana msaada wenu.
Nimelima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.