shamba Liko mvuha morogoro ni eka 49 kila eka laki 5 na nusu ila maongezi yapo
wilaya ya morogoro liko mvuha njia panda kusini kwenda ngerengere chalinze Dar nasaka 4, kushoto matombo mkuyuni...
Habari zenu
Ndugu zangu nina ofa ya mil 15.7 (hela hii pamoja na udalali kama una wewe ni dalali unaeuza) cash nahitaji mwenyewe moja kati ya gari hizo mbili ambazo ni Toyota Vellfire au Toyota...
Habari wanaJf karibu ujipatie Simu za Samsung j7 prime kutoka china Kwa bei poa kabisa.
-Bei ya jumla 130,000
-Bei ya lejaleja140,000
Napatikana Mwanza Pasiansi
Mawasiliano namba 0672883431...
Kuna jirani yangu anamiliki Toyota Hilux pick up single cabin 1998+ nazan, nmetokea kuipenda sana nna 10m isiyo na maelezo, kama Kuna mdau anayo tuwasiliane.
NILIKUJA NA UZI KUHUSU KUAGIZA TV WENGI WALINIPIGIA WAKITAKA UFAFANUZI SASA SOMA VIZURI MAELEZO HAYA CHINI
SPECIAL BIG ODA TV SMART
BRAND:SAMSUNG / LG /HISENSE
💫32@160000
💫43@300000
💫50@480000...
Habari za muda huu ndugu zangu
Naitwa elikana, ni kijana mwenye umri wa miaka 24 ninafanya kazi ya sanaa za simulizi kwa njia za sauti "Storyteller" pia nafanya "Voice over", "Dabin voice"...
Nyumba ya kisasa inauzwa kibaha maili moja........
Ina vyumba vitatu kimoja self
Sitting,dining,kitchen & public toilet
Gypsum na tiles vyumba vyote
Bei mln 46 tu
Document:Sales agreement
0675...
Habari wana Jf.
Ninauza Payroll Software ambayo inaweza ku accommodate mpaka wafanyakazi 500.
--It takes care about all earnings and deductions of employees.
--It automatically calculates PAYE and...
Mashine za kufulia za kisasa zipo karibu yako kwa bei nafuu.
Ni za kilo 3.5 mpaka kilo 4
Mtu yoyote anaweza ku afford
Bei ni tsh 120,000 tu.
Offer hii si ya kukosa kwa kipindi hiki cha sabasaba...
Kabla ya huajajenga nyumba yenye paa la kujificha ( hidden roof) soma ushauri huu👇
👉Hiddenroof ni nyumba ambazo zilikuwepo toka miaka ya nyuma hivi karibuni Zimekuja kwa Kasi.
Na zimeacha kilio...
LAPTOP ZA BEI NAFUU ZAIDI
KWA PICHA ZA LAPTOP NICHEK INBOX NITUMIE JINA LA LAPTOP
HP PROBOOK X360
ITEL
SSD 128
RAM 4GB
BEI 335,000 🔥🔥🔥🔥
DELL 3189
SSD 128
RAM 4GB
BEI 350,000🔥🔥🔥🔥
HP 640G1
CORE...
Bonjour
Wakuu , mwaka huu nataka kulima mihogo , ila nasikia Huko mkuranga mihogo inakubali sana
Sasa, kama mtu anaweza kunisaidia kupata shamba huko , naomba anichek 0742596431
Sio lazima...
Salaam wanajukwaa!
JamiiForums ni moja ya majukwaa ya kijamii yenye manufaa makubwa kwa kizazi kilichopo na kijacho. Ingawa kuna baadhi ya vijana wanaingia na kuanza kuharibu jukwaa hili kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.