Nahitaji nyumba Sinza, bei 150 milioni

Nahitaji nyumba Sinza, bei 150 milioni

Dr Rutagwerera Sr

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
5,807
Reaction score
11,492
Habari wadau. Nahitaji nyumba Sinza tu. Ofa yangu milioni 150. Nitumie ujumbe pm kama ipo kwa mwenye taarifa.
 
Habari wadau. Nahitaji nyumba Sinza tu. Ofa yangu milioni 150. Nitumie ujumbe pm kama ipo kwa mwenye taarifa.
Shekilango vipi panakufaa?? ni PM kama utapapenda
 
Ahsanteni wakuu nilipata Sinza Palestina. Kuna mdau JF amenifanikishia hilo.
 
Back
Top Bottom