Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza Aluminium display, ziko 3 zenye urefu na upana futi 4*8.3, 4*6 na 2.5*6, zipo katika hali nzuri, Dar Sinza. Bei ni 1.5 mil. Pia shelves za mbao zipo kwa laki tatu. Contact: 0713 196...
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Bado mpya, imetumika miezi 5 tu. Ni aina ya Fekoni. Bei ni 1.2m, nitafute kwa 0714 138 846.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Raum new model, iko ktk hali nzuri sana... # Metallic Silver # Sporty rims & tires 15' # 119,000 km # T 632 CFU Registered... # With all documents... # Hakuna dalali... Tsh. 12 M... hakuna...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Serious buyers and more details of the cars, nicheki #0712-511151
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama unauhutaji wa mashine ya Maximalipo ninayo yangu Ila nabadilisha Biashara kwahiyo nimehamua kuiuza. Napatikana kwenye Whatsapp yangu 0778080031 karibu.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari ndugu mwana jamiiforum. Natafuta fundi mzuri wa tiles aliyeko maeneo ya Dar. Kama unamfahamu au ni wewe tafadhali nitumie PM. Zingatia sana lazima uwe umefanya kazi safi na unavifaa vyote...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Being nzuri kazi nzuri
0 Reactions
1 Replies
3K Views
ipo safi kamaunavyoiona toyota marino ipo dar es salaam ukonga mombasa
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Natafuta GDI milango 5 budget 5m
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Location: Ukonga-Banana. 1Room na Sitting room. Choo ndani. Maji yapo 24hrs. Gypsum na Alluminium windows. Parking yakutosha tu. Luku yako peke yako. Ulinzi upo. Bei 250,000/= kwa mwezi ila...
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Kiwanja Kinauzwa, Kiluvya kwa Komba upande wa Kulia Ukitokea Kibaha umbali kama Km 3 kutokea barabara ya Morogoro. Umeme uko Mita kama 10. Ukubwa wa Kiwanja ni Mita 50x40!-Unsurveyed kina hati ya...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
nauza noah 2004 kwa milion 9.0 gari nzuri sana plate namba B pia tunaweza kuzungumza.. 38749 Kilometers. nipo dar es salaam. kwa maelezo zaid ya picha sms.calls. whatsapp. tel 0716638618
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Model : toyota coaster Engine : 1hz Haidaiwi kodi yeyote Well maintained Location Dodoma. BEI 30,000,000 million but negotiable Contacts 0689193853
0 Reactions
4 Replies
3K Views
tigo pesa airtel mpesa kwa bei nzuri 0712191251
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari ya muda huu wakuu! Mashine ya kukamuliwa juice ya miwa mpya kabisa inauzwa bei nafuu laki nne tu Pungufu tutaongea nipigie 0719221149 tuongee biashara. Mwambie mwenzio
0 Reactions
9 Replies
3K Views
IWE CORE i5 au i7 RAM KUANZIA 4GB NA HDD KUANZIA 500GB. BAJETI NI 450000-500000.MAWASILIANO 0629141421
0 Reactions
2 Replies
836 Views
Nauza gari aina ya noah.ipo kwenye hali nzur na ilikuwa kwenye matumiz binafsi..ipo katika hali nzur engine haijawah kufunguliwa na nyongeza inamwaga maji kwenye exosi wenye uzoefu na magar...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ipo jirani na St Mary's international school bei ni milion 25 kwa anaehitaji tuwasiliane kwa 0788752672
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Mwenye kuuza simu screen tauch ya tshs 50,000 nipo Arusha
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Gari ipo katka hali nzur na ilikuwa kwenye matumiz binafsi.engine haijawahi shikwa.na inamwaga maji kwenye exosi.gar ni yangu ctaki dalali.. Piga 0686346322 Nipo morogoro
0 Reactions
4 Replies
994 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…