Salama wakuu;
Ninauza kiwanja/shamba. Ukubwa ni SQM 400 Eneo kilipo ni Bunju B, Bei ni 4M. Kiwanja kipo sehemu nzuri, maji yapo, umeme nao tayari umeshafika eneo husika. Kwa anayehitaji...
Wadau,
Nahitaji matofali ya Kuchoma (Sio Inter-locking) kwa ajili ya kujengea mabanda ya mifugo maeneo ya Mbutu-Kigamboni. Matofali haya ni yale yanayopatikana kwa kuchomwa tofali la udongo na...
Wadau kwa anayehitaji shamba kwa ajili ya kulima nakodisha.Msimu ushafika kwa wilaya ya Handeni tunaanza kulima mwezi ujao.
Iko kuanzia heka 1 mpaka 10 au ukitaka zaidi, liko sehemu moja. kwa...
Natafuta nyumba ya kupanga, Maeneo - Kijitonyama, Kurasini, Mbezi Beach, Tankibovu, Mikocheni, na Msasani
Sifa,
Chumba - 1 au 2, Sebule, Parking
Bajeti - Laki 2 hadi 2.5.
Mradi wa kuwawezesha wanawake kiuchumi kupitia tasinia ya urembo ujulikanao kama Manjano Dream Makers hatimaye umefika Mwanza.
Wataalamu wa maswala ya biashara na urembo wataendesha mafunzo wiki...
Mashine ya Kisasa ya kuchomea Kuku 12kwa mara moja inauzwa tshs780,000/= inatumia Umeme. Bado ipo kwenye hali nzuri kama inavyoonekana kwny picha
Nicheki hapa 0652 494919