Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Toyota Hilux Surf for sale. Milion 8. Good condition. Iko Iringa. Maongezi yanaruhusiwa. Call or watsapp 0622261026
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, naomba kufahamishwa wapi anapatikana Fundi mtaalamu Wa discovery kwa hapa Dar es Salaam Asanteni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari, ninauza kiwanja kipo korogwe mtaa wa kwam'mbo karibu sana na magunga hospitali .kina msingi wa mawe wa vyumba vinne na michungwa kadhaa ,kina ukubwa wa robo heka bei ni nafuu sana. aliye...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Contact 0789091791
0 Reactions
3 Replies
927 Views
Nahitaji mayai kiasi cha tray 45 kwa wiki za kuku chotara aina ya black austtalorps, white australorps, susex, rhode island red etc... Napatikana Tegeta Bahari beach Kwa mwenye nayo tuwasiliane...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tigo pesa 270k Mpesa 160k Airtel 110k 0712191251
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Hp elitebook for sell Spec Ram 4gb Hdd 320 i5 core Bluetooth Wifi 3G Size 12.5 Window 8 Betre 4-5 wahi zimebaki chache 0712191251 460,000 tu
0 Reactions
4 Replies
867 Views
Vyumba 3 na moja ni master. Sebule, jiko, sehemu ya kulia, choo cha jumuia. Ipo Changanyikeni. Kodi ni laki tano. Karibuni: 0718800909..
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kichwa cha habari chahusika mwenye nayoawe tayari kwenda ofisini kwao kubadilisha majina ya umiliki wa mashine hizo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu, Nahitaji mashine ya MaxMalipo, naomba msaada wa jinsi ya kuipata. Inaweza kuwa hata imetumika ila iwe kwenye hali nzuri kama mpya. Asanteni.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kichwa cha habari kinahusika,kwa mtu yeyote aliyepotezana na nduguye/mgeni wake jana majira ya jioni maeneo ya stendi kuu ya mabasi ya Ubungo afike kituo cha Polisi External! Ni binti wa miaka...
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Asalaam wana jamii natafuta nyumba ya kupanga eneo ya Ilala kodi iwe kati ya 150,000 hadi 200,000 na nina kodi ya miezi 9 iwe na viumba viwili maji na luku ya kujitegemea
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Toyota Altezza inauzwa, mwaka 1999, engine capacity 1925, silver color, leather seats, ipo Dar es Salaam, bei 6.5 million haipungui. Maelezo zaidi piga 0713399109 au 0765448488.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
NAUZA GALI TAJWA HAPO CC 990 MWAKA 2005 KM 148000 NI NAMBA" D" BEI 7.8M(MAONGEZI YAPO) NICHEK 0783380123
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mileage :64,503 km. Imetembea Dar kwa mwaka mmoja tu toka inunuliwe. Namba inaanzia D. Documents zote zipo. Picha zimeambatanishwa kwa maelezo zaidi. Bei 10m. Kwa mawasiliano zaidi, piga 0714-313362
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Iwe vizuri,bei maelewano,nipo dsm,0658327429.
0 Reactions
0 Replies
420 Views
Wide range of Newest new generation diagnostic products. Interested parties PM for more details.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Tunafanya training kwa wahasibu pia kwa wanafunzi wanaosoma masomo ya kihasibu, sisi tunafundisha jinsi ya kutumia QuickBooks. Tunafundisha masaa 20, ambapo masaa 20...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nauza kiwanja cha makazi kipo Singida mjini unyakumi karibia Na radio standard, maji Na umeme vimeshafika. Pia Huduma nyingine za kijamii zinapatikana kirahisi sana. Bei ni milion tano mapatano...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…