Habari za muda wakuu,
Nauza nondo za Tanzania kwa bei ya jumla (machale na plain).
Urefu na unene vimetimia.
Nondo kuanzia mm 10 mpaka mm 20 ,bei Tsh 1,285,000/=
Order kuanzia tani 5.
Kwa...
hp 635 for sell 350,000 maelewano yapo
hdd 350, ram 2g b, webcam, AMD - E 450 APU with Radeon HB Graphics 1.65 Hhz 32bit, ina kaa na charge zaid ya masaa 3
check me through 0719210905
Kiwanja kinauzwa Kimara Suka maeneo ya Golani millioni 16 kuna vyumba viwili choo na jiko vimeishia kwenye rental, kalo la choo lipo tayari maongezi yapo kwa anaye hitaji.huduma ya maji na umeme...
Km 90000
Cc 1500
Rangi ya silver
Reg # C
Bei 8.8mln bei ya mwisho kuuza 8.5mln!gari iko vizuri haidaiwi vibali vyoo yote,engen iko safi sana,kwa mnunuzi ambaye ni serious tuwasiliane 0715591141...
Habari wandugu, Nyumba mbili zinapangishwa. Moja sh 350,000 kwa mwezi na nyingine sh 300,000 kwa mwezi. Kodi inatakiwa ya miezi sita. Nyumba zote zina vyumba viwili vya kulala (kimoja masta)...
nauza s4 used black in colour ..imetumika nje..imebaki moja almost new haina mchubuko hata mmoja..
internal 16gb
ram-2gb
camera-13mpx
bei 380000(380k)
maelewano yapo...
nichek no. 0659116111
Jaman nauza eneo/shamba la ekari kumi lililopo mapinga bagamoyo na kwakila eka moja ni sh mil 7.5 na umbali toka barabara ya lami ni kilomita moja tuu na bei inapungua.. kwa mawasiliano ni 0742864583
Habari za leo wana Jamii Forum, ninaleta kwenu dawa ya kupunguza uzito/kutoa kitambi inayoitwa 'Bi Sheng Yuan'. Dawa hii inakuja kwenye pakiti yenye 'tea bags' 25 ambayo unatakiwa kunywa mara...
Wakuu, heri ya mwaka mpya
Nipo ktk kutafuta gari ndogo ya kutembelea. luxury but fuel efficient na iliyo ngumu. Baada ya kusearch kwa muda na kupitia review ya gari mbalimbali kama mark II grande...
Mafunzo haya ni ya wiki moja ambayo yanaendeshwa na kusimamiwa na Tanzania Youth Entrepreneurship and Empowerment Organization yenye usajili namba 00NGO/00006706.
Lengo la mafunzo haya ni...
Nina mbuzi wakubwa wa kienyeji, kwa ambaye anahitaji tuwasiliane pm, wapo wa supu na wa mafuta. kama una order ya mbuzi wengi au mmoja mmoja pia tuwasiliane. mbuzi nilionao wanatoka mkoa wa...
Mashine ya kupigia tofali na vibao vyake viko 500 inauzwa, inatoa tofali moja la 5.5", ina mwezi mmoja tangu inunuliwe na imefanya kazi mara mbili tu.
Bei 885,000 Neg.
niPM tufanye biashara
Ni nyumba kubwa ya vyumba 3, dinning, sitting kubwa,uwa mpana,fence na geti,eneo limepimwa iko jiran na Nganza secondary hapa nyegezi Mwanza anaehitaji bei ni milion 45 tuwasiliane kwa 0788752672
Lipo kisemvule ni ekari 36 karibu na kiwanda cha cement cha rhino lipo mita chache from main road inayokwenda mkuranga interested buyer unakatibishwa just PM