Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za muda wakuu, Nauza nondo za Tanzania kwa bei ya jumla (machale na plain). Urefu na unene vimetimia. Nondo kuanzia mm 10 mpaka mm 20 ,bei Tsh 1,285,000/= Order kuanzia tani 5. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau,nauza nyama ya kuku wa kienyeji. Kilo moja sh.15,000/= Mawasiliano niPM KARIBUNI SANA!
0 Reactions
2 Replies
5K Views
hp 635 for sell 350,000 maelewano yapo hdd 350, ram 2g b, webcam, AMD - E 450 APU with Radeon HB Graphics 1.65 Hhz 32bit, ina kaa na charge zaid ya masaa 3 check me through 0719210905
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza meza za plastic aina ya cello zipo 50 bei 16000 namba 0713626665. Watsup 0768265518
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Kiwanja kinauzwa Kimara Suka maeneo ya Golani millioni 16 kuna vyumba viwili choo na jiko vimeishia kwenye rental, kalo la choo lipo tayari maongezi yapo kwa anaye hitaji.huduma ya maji na umeme...
0 Reactions
5 Replies
819 Views
1. Sound card: Tsh 500,000 2.Mixer 12 channel:Tsh 700,000 3.monitor 1 pair: Tsh 700,000 4.Mic,stand and filter: Tsh 500,000 5.DI box :Tsh 150,000 6.AC/samsung:Tsh 700,000 NB : For pictures...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Km 90000 Cc 1500 Rangi ya silver Reg # C Bei 8.8mln bei ya mwisho kuuza 8.5mln!gari iko vizuri haidaiwi vibali vyoo yote,engen iko safi sana,kwa mnunuzi ambaye ni serious tuwasiliane 0715591141...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Poll Poll
iPhone 4s for sale Black in colour font camera 5.0 Rear cmera 8.0 RAM 16 GB price : 250,000 mawasiliano: 0674329928
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wandugu, Nyumba mbili zinapangishwa. Moja sh 350,000 kwa mwezi na nyingine sh 300,000 kwa mwezi. Kodi inatakiwa ya miezi sita. Nyumba zote zina vyumba viwili vya kulala (kimoja masta)...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nauza s4 used black in colour ..imetumika nje..imebaki moja almost new haina mchubuko hata mmoja.. internal 16gb ram-2gb camera-13mpx bei 380000(380k) maelewano yapo... nichek no. 0659116111
0 Reactions
3 Replies
704 Views
Jaman nauza eneo/shamba la ekari kumi lililopo mapinga bagamoyo na kwakila eka moja ni sh mil 7.5 na umbali toka barabara ya lami ni kilomita moja tuu na bei inapungua.. kwa mawasiliano ni 0742864583
0 Reactions
4 Replies
932 Views
Habari za leo wana Jamii Forum, ninaleta kwenu dawa ya kupunguza uzito/kutoa kitambi inayoitwa 'Bi Sheng Yuan'. Dawa hii inakuja kwenye pakiti yenye 'tea bags' 25 ambayo unatakiwa kunywa mara...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu, heri ya mwaka mpya Nipo ktk kutafuta gari ndogo ya kutembelea. luxury but fuel efficient na iliyo ngumu. Baada ya kusearch kwa muda na kupitia review ya gari mbalimbali kama mark II grande...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mafunzo haya ni ya wiki moja ambayo yanaendeshwa na kusimamiwa na Tanzania Youth Entrepreneurship and Empowerment Organization yenye usajili namba 00NGO/00006706. Lengo la mafunzo haya ni...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Nina mbuzi wakubwa wa kienyeji, kwa ambaye anahitaji tuwasiliane pm, wapo wa supu na wa mafuta. kama una order ya mbuzi wengi au mmoja mmoja pia tuwasiliane. mbuzi nilionao wanatoka mkoa wa...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Mashine ya kupigia tofali na vibao vyake viko 500 inauzwa, inatoa tofali moja la 5.5", ina mwezi mmoja tangu inunuliwe na imefanya kazi mara mbili tu. Bei 885,000 Neg. niPM tufanye biashara
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni nyumba kubwa ya vyumba 3, dinning, sitting kubwa,uwa mpana,fence na geti,eneo limepimwa iko jiran na Nganza secondary hapa nyegezi Mwanza anaehitaji bei ni milion 45 tuwasiliane kwa 0788752672
0 Reactions
2 Replies
3K Views
we prepare books of accounts, financial statements, VAT returns and business plans. call 0672 259 395 or 0782 237 212
1 Reactions
1 Replies
958 Views
Lipo kisemvule ni ekari 36 karibu na kiwanda cha cement cha rhino lipo mita chache from main road inayokwenda mkuranga interested buyer unakatibishwa just PM
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kiwanja kina ft65 kwa ft95. Bei naanzia 8m. Karibuni.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…