natafuta kioo cha note 2 na fundi

natafuta kioo cha note 2 na fundi

don franco

Senior Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
142
Reaction score
239
Natafuta kiio cha simu tajwa hapo juu na fundi wa uhakika na mwenye uzoefu.simu inaonesha ila kioo kina cracks
 
Natafuta kiio cha simu tajwa hapo juu na fundi wa uhakika na mwenye uzoefu.simu inaonesha ila kioo kina cracks
Nenda Kariakoo mtaa wa Aggrey, uliza fundi simu aitwae Adamu, atakuwekea, ana hivyo vioo.
 
Back
Top Bottom