ECES Member Joined Sep 15, 2010 Posts 61 Reaction score 24 Apr 13, 2016 #1 Imeingia bandarini 06/April/2016 Imelipiwa Kila kitu Haijatumika Hapa nchini Bei Inapungua. Piga 0714-910964 / 0755376337
Imeingia bandarini 06/April/2016 Imelipiwa Kila kitu Haijatumika Hapa nchini Bei Inapungua. Piga 0714-910964 / 0755376337
J33 JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 1,552 Reaction score 1,524 Apr 13, 2016 #2 Inapungua kutoka wap??? Duc In Altum.
bullar JF-Expert Member Joined Aug 16, 2014 Posts 10,709 Reaction score 24,496 Apr 13, 2016 #3 mbona huweki vitu hadharani wkt ni biashara
aikaruwa1983 JF-Expert Member Joined May 6, 2011 Posts 1,398 Reaction score 1,504 Apr 13, 2016 #4 J33 said: Inapungua kutoka wap??? Duc In Altum. Click to expand... sisi watz kwenye biashara tutasubiri sana
J33 said: Inapungua kutoka wap??? Duc In Altum. Click to expand... sisi watz kwenye biashara tutasubiri sana
J33 JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 1,552 Reaction score 1,524 Apr 13, 2016 #5 Haya ni matatizo ya watu wanaojifunza udalali. Duc In Altum.
O Offline User JF-Expert Member Joined Dec 20, 2010 Posts 3,828 Reaction score 2,395 Apr 13, 2016 #6 bei inapungua kutoka zero to negative
ECES Member Joined Sep 15, 2010 Posts 61 Reaction score 24 Apr 13, 2016 Thread starter #7 Wakuu mniwie radhi mtandao ulisumbua ndio maana picha haikutoka..
J33 JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 1,552 Reaction score 1,524 Apr 13, 2016 #8 ECES said: Wakuu mniwie radhi mtandao ulisumbua ndio maana picha haikutoka.. Click to expand... Na bei ilikuwa inakuja kwa picha?? Duc In Altum.
ECES said: Wakuu mniwie radhi mtandao ulisumbua ndio maana picha haikutoka.. Click to expand... Na bei ilikuwa inakuja kwa picha?? Duc In Altum.
ECES Member Joined Sep 15, 2010 Posts 61 Reaction score 24 Apr 13, 2016 Thread starter #9 J33 said: Na bei ilikuwa inakuja kwa picha?? Duc In Altum. Click to expand... Yap bei iko kwenye picha boc
J33 said: Na bei ilikuwa inakuja kwa picha?? Duc In Altum. Click to expand... Yap bei iko kwenye picha boc
K king90 JF-Expert Member Joined Apr 18, 2014 Posts 368 Reaction score 221 Apr 13, 2016 #10 Utawekaje bei kwenye picha kwani hapa ni supermarket?