Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau Sabuni za kigoma zmetengenezwa kwa mawese Ni nzuri hazikati povu kwenye maji ya chumvi Zinapatikana kwa bei nafuu bei ni kuanzia ; 1800 1700 1600 Kwa mche Ukiwa interested ni PM
1 Reactions
7 Replies
6K Views
1.kipo kerege umbali wa kilometa2 toka barabarani 3/4acre documents zipo 2.kipo mapinga vikawe 20x20 karibu na barabara 3.kipo mapinga barabarani ukubwa 1.5acre hati zipo 4.kipo mbweni karibu na...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kiwanja kipo maeneo ya Mbweni beach, Kuna Boy kota pembeni, Ni jirani Na nyumba ya Joti anapojenga, ni mwendo wa dakika 30 kufika beach! kina ukubwa wa mita 40 kwa mita 30, kiwanja kina hati ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari Zenu Wadau wa Jamii Forum! Mfugaji wa Kuku wa Kienyeji. Nauza mayai ya kienyeji Trey moja 15,000 kwa mteja wa rejareja na kwa mteja wa Jumla yaani kuanzia trey 10 kwa siku kwenda mbele...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hizo ni baadhi ya kazi zetu,tafadhari njoo na wewe tukuhudumie uwe katika mtandao wa wateja wetu wa nguvu.Bei zetu ni rahisi saana kulinganisha na huduma itolewayo. Piga simu namba 0655541948...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
#Eneo la KIWANJA sqmts 400 #ipo mbezi beach jogoo upande wa kushoto ukitokea mwenge;300 metres from Africana bagamoyo road #4bedrooms semifinished house inahitaji semifinishing kwasasa INA umeme...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
wakuu nauza franklin wireless device ya smile Tanzania ipo na hali nzuri tu, Tsh. 120000..nko ubungo kama unahitaji nchek 0654907899
0 Reactions
0 Replies
970 Views
25000
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Naomba kujua ni wapi naweza kipata na kwa bei gani.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Pazia Pazia pazia Upana meter 2 urefu meter 3 kwa 50,000 tuuu Unapata na nyepesi ya kufanania ya meter 2 kwa 40,000 tuuu Call/wharsap 0713691101/0769633450 Unafikiwa popote ulipo dar Mikoani...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wapendwa kama heading inavyojieleza nahitaji toyota ist iliyo katika hali nzuri ningependelea haswa namba c au d budget yangu ni 7.5m. kama utahitaji tufanye biashara unaweza kuniPM Mungu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kiwanja Kipo Goba, Mtaa wa Muungano. Karibu na Mivumoni. Ukubwa wa kiwanja: SQM 500, Bei Milioni 8.5. Direction: Ukitokea Tegeta Wazo alafu Mivumoni center then Kiwanjani. Kipo Kilometer3 kutoka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Simu bado ina hali nzuri kabisaa haina tatizo lolote.bei 300k.simu 0659626782
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau wa JF Kiwanja kinauzwa Mahali:SINZA DSM Ukubwa wa eneo:40*40 Vilivyomo:Vyumba viwili+Choo na Bafu Price:170M MAELEWANO YAPO,NICHEKI PM KM UNAHITAJI KUISHI KWA WAJANJA
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunauza pumba za mahindi ambazo zimekaushwa vizuri. Gunia lina debe 6. Bei tsh. 15,000 tupo Dodoma mjini. Karibuni.
0 Reactions
1 Replies
815 Views
Heri ya pasaka wakuu, Kuna vijiplot 25×25 na zaidi vinauzwa maeneo ya Bunju A. Bei inaanzia m 3, Mwenye kuhitaji naomba anipm tuwasiliane zaidi.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
MASSEY FARGUSON COMBINE HARVESTER INAUNZWA COMBINE HARVESTER ipo madhubuti sana na ina hali nzuri,na inafanya kazi vizuri sana. Kutoka Denmark na haijatumika hapa Tanzania, kama wewe ni makuli...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Viwanja viwili vinauzwa vikiwa pamoja ukubwa ni 721 squre meter vipo ibanda karibu na nyumba za watumishi umeme na maji yapo eneo hilo kwa muhitaji wa viwanja ni PM nitakupigia bei 5.5 kwa kila kimoja
0 Reactions
0 Replies
2K Views
IDENTIFICATION OF WORKS I DO. NAME: ANZURUNI SHEMU. PROFESSIONAL: ELECTRICAL ENGINEERING. INSTRUMENT: 1 PERSONAL COMPUTER(LAPTOP). PHONE NO: +255753970366 or +255 789254607. EMAIL...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…