Nauza sabuni za maji, nzito zenye pozi na zinazotengenezwa na mjasiriamali wa kiTanzania. sabuni hizi zipo katika ujazo wa lita 1 bei 2000 na lita 5 bei 8000.
Sabuni hii inafaa kufulia...
Tunachora Ramani za nyumba kwa bei nafuu sana. Tupo Dar, kwawalio mikoani watatumiwa michoro yao
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa whatssp 0717 040837/0767267664
Natafuta Kamusi ya Kiswahili - Lingala au Lingala - Kiswahili.
Kwa yeyoye mwenye nayo au anayefahamu inakopatikana.
Tafadhali wasiliana nami: 0784744404 /0713744401
Ndugu wajasiriamali,
Kwa mkulima mwenye viungo vilivyotajwa hapo juu awasiliane nasi kupitia simu ya mkononi namba 0767-988-173 au barua pepe marukuvanilla@gmail.com
NB: Fursa hii ni kwa wale...
Nyumba yenye vyumba 3, kimoja Masterbedroom, public toilet ndani, kitchen, library, dinning, sitting room. Pia kuna umeme na maji, Barbara mpk nyumbani. 15 minutes to Mwanza town. Nyumba iko nyuma...
Kwa Mahitaji yako ya Ufungaji Mziki wa Gari yako Hapa town pamoja na upambaji mzima,waone•••••@pimp_your_car_ Kule Instagram,uone maajabu• wao wana
Android Car...
Nauza Fuso Mignon Tipper ipo katika hali nzuri sana.Tairi zote mpya na vibali vyote vipo hai.Bei Tshs Mil 22 na mazungumzo yapo.Gari ipo DSM mbezi temboni.Simu no 0715/0754 472 414 na whatsup 0783...
Nauza gari aina ya Fuso mignon Tipper ipo ktk hali nzuri ina tairi zote mpya na vibali vyote vipo hai.Bei ni Tshs mil 22 na mazungumzo yapo Gari ipo mbezi temboni.Kwa simu no 0715/0754 472 414...
Shamba lenye ukubwa wä jumla ekari 13 ambalo limepandwa miti ya paini ekari 8 na ekari tano limepandwa mlingoti. Hyo miti inaumri wa miaka5 na unauziwa miti pamoja na ardhi million 30. Shamba liko...