Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba inauzwa na kuna uwanja mkubwa ambao unaweza kujenga nyumba nyingine utakayotaka wewe kwani iliyopo ni ya kiwango cha chini. Mahali ilipo ni Igoma jijini Mwanza (Nyuma ya St. Mary School)...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
kina ukubwa wa 25*35, kipo karibu na hostel ya wanafunzi wa saut mwanza. eneo hilo linakuwa kwa kasi ya ajabu. bei 6milion. ukihitaji pm tafadhali
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jumatatu natarajia kuwa Moshi mjin ntakaa cku tatu,naomba kwa anaejua hotel ya karibu na stand bei nafuu anijuze,serious
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hodi hodi ninabisha, jukwaani kuingia Kwa simanzi kuwapasha,yale yalonitokea Mtima una mashaka,jinsi ya kuelezea Nimempoteza Kaka, Niliyempenda sana Ilikuwa ni jioni, nikaipokea simu Haraka...
0 Reactions
41 Replies
8K Views
Nyumba ya vyumba viwili(guests), master1, Seating room, choo public, jiko, baraza, mabanda 9 uwani, kisima cha maji, karibu kabisa na barabara ya ubungo maziwa to Mabibo...bei Mil 85..... Ni PM...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1. Nyumba Vyumba2,Sebule,Jiko na Choo. Ipo MbeziBeach Goigi, Bei tshs laki3/Mwezi. Maji ya Dawasco yapo, Ina fensi na geti. Wasiliana: 0752953860
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Bajeti 150,000
0 Reactions
0 Replies
662 Views
Habarin Wakuu,nauza sim tajwa,imetumika vizur,haina scratch, bei ni elf 90, Cont:0625542873 nipo dar
0 Reactions
3 Replies
910 Views
Kiwanja kwa ajili ya makazi kipo maeneo ya Igoma (Nyuma ya shule ya St Mary) - barabara ya nyerere kinauzwa kwa bei nzuri. Tuwasiliane iwapo uko kwenye mipango ya kujikwamua kumiliki mjengo wako...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa Mwanza, kipo eneo la Malimbe (Nyegezi) njia kuelekea Sweya. Eneneo ni zuri kwa ajili ya makazi. Kwa anaye hitaji nitafute kwa 0769015725/0689346264
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kipo mkolani kimepakana na barabara kuu ya Dar Mwanza kina ukubwa wa heka moja na robo , unaweza jenga Hotel,lodge na bei ni nafuu sana milioni mia na hamsini kama utahitaji tuwasiliane kwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kiwanja kinauzwa mwanza jiji. Nyamhongolo kina ukubwa wa square meter 893 niko kwenye kona na kinatazama barabara kwa pande mbili
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa eneo la Block 2, Buswelu, Mwanza. Ni kiwanja kikubwa Low Density, kimepimwa na kiko wazi. Pia kina hati tayari. Bei ni poa kabisa. Tuwasiliane kwa simu 0683 088859
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Nahitaji kiwanja Igoma Mwanza, bajeti 1.5 hadi 2 Million(s), Mwenye nacho tuwasiliane tafadhali
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nauza kiwanja eneo la Busenga, Cocacola Mwanza; eneo lina miguu 20 kwa 37, tayari lina msingi wa nyumba ya kisasa. For serious buyers only. PM
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau poleni na majukumu naomba kuwapa taarifa kwa walioko naeneo ya Mwanza kuna eneo linauzwa ambalo lina viwanja 4 vyenye ukubwa wa 15x30 sq meters maeneo ya KISEKE B WILAYA YA ILEMELA. Gari...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba yenye fence na LUKU inauzwa;- NYAMANORO B:- BLOCK J. NO 73. INAPAKANA NA MLIMA WA KAWEKAMO/Masister RC. KAWEKAMO STREET. Ni Airport RD. Simu 0754 302006 or 0783 393921
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani wa Tz nauza kiwanja kipo Nyegezi jijini Mwanza. Mwenye uhitaji anicall kwa 0763_002227
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa anayehitaji kiwanja jijini Mwanza. Kina ukubwa wa m 20x20,bei ni Tsh Million tano(5).
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…