Im a Tanzanian artist ambaye nipo talented, i do painting&drawing kwa style kama fine art, abstract, knife painting, sand painting's, tingatinga n.k, pia hufanya craft making za shanga, sendol's...
I have a plot of land for sale at uporoto Street.. Along Bagamoyo road near anghiti hotel. Map coordinates
The plot is suitable for for any business need..
Currently it has a house built in it...
Wewe ni mpenzi wa boots nzuri, zenye viwango vizuri katika muonekano wake?? Bhas hii si ya kukosa... Boots nzuri size 43 kwa 60,000/=.. Zipo rangi ya blue.. Zimebaki pair mbili tu... Kwa...
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza ni account ya adsense yenye dollar 40 pia iko full activated so ni wewe kuendeleza mzigo tu, bei ni 200,000 aliye na uhitaji tafadhari anicheki...
Usipate shida tena pale unapohitaji kuondoa tatizo lolote linalokwaza muonekano au uzuri wako, pata ushauri na bidhaa bora, salama na zenye ufanisi mkubwa kutoka kwa wataalam wa vipodozi na afya...
Viwanja Viko Mbezi Mpiji Magoe, ukubwa kuanzia mita 22*20 Bei million 4.5, bei inaongezeka kulingana na
ukubwa. Umeme, maji na barabara nzuri vyote vipo. Wahi kabla Bei haijapanda.
Kwa taarifa...
Kuna kiwanja cha ukubwa wa mita za mraba 1500..
Kipo mtaa wa uporoto ni mita 15 katoka Barabara ya bagamoyo..
Kipo karibu katikati ya kituo cha Victoria na Morocco..
Piga namba 0769338868...
Habari zenu wakuu!
Najikita moja kwa moja kutahadharisha madalali wote kuwa umetokea mtindo ukitangaza kitu kuuza au kukodisha ( especially Nyumba) mtu anakwambia nirushie Picha na umueleze IPO...
Wanajf natafuta CHUMBA cha kupanga kwa ajili ya biashara maeneo ya Posta mpya, Kisutu, Akiba,Mnazi Mmoja au Steshen. Kiwe na ukubwa wa Sq. mita 20 - 30 hasa hasa ground floor ndio napendelea sana...
Habari za majukumu wadau
Natafuta dalali ambaye anaweza nisaidia kupata wanafunzi wa chuo, nina hostel maeneo ya Mbagala kipati. Hostel ipo kadiri ya kilometa 5 toka vyuo vya TIA na Chuo cha...
Wanajamvi salamu kwenu
Mimi ni mgeni maeneo Haya ya Kyela naomba msaada wa kupata nyumba nzuri ya kupanga ndani ya wilaya hii ya Kyela katika kata ya Matema Beach au maeneo Karibu na hayo msaada...