Kiwanja kinauzwa Kiromo- Bagamoyo

Kiwanja kinauzwa Kiromo- Bagamoyo

ndiyomkuusana

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
668
Reaction score
426
ni heka moja na nusu. bei ni maelewano ,ni kilomita 3.5 kutoka barabarani. upande wa kushoto kama unaenda bagamoyo,unachukua barabara iliyopita nyuma ya kiromo primary school ,gari inafika mpaka site. upande wa kulia wa barabara kuna hotel ya kiromo,pia kuna ujenzi wa bandari kavu. kwa mwenye hitaji anipm . bei ni 12.5 milion. kama upo serious ni pm
 

Attachments

  • kiromo.jpg
    kiromo.jpg
    3.8 KB · Views: 43
Mbona tangazo lako hukuliweka pm, weka bei kabisa hapa mtu akija pm ni maelewano tu
 
Si unaona sasa atleast tumejua. Nitakutafuta pm mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom