Wadau nahitaji sport bike kutoka India
Manufacturer- Bajaj
Model-Pulser 200 NS
Nahitaji kujua kama pale india inauzwa rupee 95000; pamoja na kufanya shipping services mpaka ifike bongo niikamate...
About Big one enterprises
Bigone logistic inakupa suluhisho la kupaua kuanzia ushauri
wa kukupigia hesabu mabati mangapi yanahitajika katika nyumba yako kwa njia ya ramani au kufika site kwako...
Nyumba/kiwanja ukubwa ni sqm 980,
eneo ni tanki bovu mita mia mbili kutoka barabara ya bagamoyo ilipo benki ya NBC au kanisa la kilutheri mbezi, ina tittle deed (hati ya umiliki) na eneo...
Habari zenu waungwana,mie ni kijana mwenye utaalamu wa kufanya wiring ya umeme katika nyumba na ghorofa.
Bei zangu ni nafuu na pindi nitakapokufanyia utafurahia mwenyewe,na pia kama nyumba ina...
Wadau,
Nahitaji fundi mzuri wa kupanga paving blocks. Mafundi nawaona wengi mtaani, ila ntashukuru nikipata reference toka kwa mtu ambae amefanyiwa kazi nzuri.
Nyumba ipo Tangi Bovu, Mbez Beach...
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa:
PROJECTS ZA KIGAMBONI
HAYAT RESIDENCE:
*Umbali km 23 kutoka Ferry
*Umbali km 10 km kutoka New Kigamboni bridge(daraja jipya la kigamboni)
*Ipo ndani ya Proposed...
House and plot for sale dar es salaam 0712656606
Eneo: kigamboni kibada block 15
Bei: millioni 150 ikikamilika
Millioni 120 kama ilivyo.
Ina hatimiliki na kiwanja kimepimwa
Size : Square...
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la ndege la Etihad nchini Nigeria Bw. George Mawadri
Shirika la Ndege la Etihad ambalo ni shirika la ndege la taifa katika falme za kiarabu limemteua George Mawadri...
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya kurasini karibu na baraza la maaskofu.
ukubwa ni square meter 3320, ipo almost mita 150 kutoka baharini.....
All relevants documents ziko available (sio ya urithi ni...
Habari za mchana wana JF natafuta mteja wa kununua ufuta, nina ufuta zaidi ya kilo 2,000
Ufuta unapatikana shambani kwangu nje kidogo ya Mkuranga, Serious Buyer naomba anicheki private kwa...