Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Library ya movies za kutafsiriwa na zisizotafsiriwa inauzwa ipo mabibo NIT chuo cha usafirishaji, library ipo barabarani kabisa, unaweza kukaa mwenyewe au unatafuta kijana ukamuweka kuingiza...
6 Reactions
6 Replies
624 Views
Habari JF, Je unahitaji mpishi mwenye ujuzi mkubwa wa kupandisha mauzo yako kwa kuongeza wateja wengi katika biashara hako? Kama ndiyo basi yupo kijana mdogo mwenye ujuzi wa kupika vyakula vyote...
0 Reactions
11 Replies
653 Views
Natumaini mko poa. Mimi nauza CPU yenye jina Dell Omniplex 780 Intel cup duo 3.06 GHZ, 6.0 GB RAM na HDD 210. Hii ilikuwa inatumika ofisini Bei sh 150,000 Imerumika miezi kadhaa tu Piga hii...
2 Reactions
6 Replies
614 Views
Habari zenu. Mimi na mume wangu tunauza vitanda 4 vya futi 3 kwa futi 6 viko 4 maeneo ya kibaha kulikuwa na mradi wa ufugaji ngombe Sasa mradi haupo Tena. Vitanda vilitumika kwa wafanyakazi...
1 Reactions
4 Replies
519 Views
Sio wote tunajua umhimu wa WRITEUPS za kimkakati na kimaendeleo hasa katika kuleta ukamilifu wa WAZO lako. Wengi tuna mawazo mazuri sana kichwani ila yako random..ndipo inapokuja HAJA ya kuandika...
2 Reactions
12 Replies
576 Views
Habarini wana jamvi. Katika harakati za maisha nimeamua kufungua biashara (Chimbo) ya kuuza simu jumla na rejareja kutoka Dubai na China. Duka linapatikana mtaa za Aggrey na Masasi Kariakoo...
7 Reactions
18 Replies
792 Views
Habari za wakati huu... Natumai wote ni wazima wa afya.. Wale ambao afya inashida kidogo Inshaallah mwenyezi atafanya wepesi tutakuwa sawa... Leo nataka tukumbushane kuhusu kununua eneo au mali...
3 Reactions
4 Replies
706 Views
Kama unazo njoo inbox USSR
3 Reactions
3 Replies
437 Views
Nyumba inauzwa Goba Tegeta "A" Eneo lina SQM 450 Nyumba ipo sehemu nzuri sana(majirani✅ Nyumba ina fence ya umeme Nyumba ina paving Nyumba ina umeme na maji Nyumba ina vyumba vitatu viwili vina...
2 Reactions
2 Replies
692 Views
FAIDA ZA KUVAA T-SHIRT ZA BIASHARA YAKO Kuifanya biashara kuwa nadhifu na ya kisasa Kuitangaza biashara yako Kuondoa uwezekano wa mteja Kuhudumiwa na mtu asiyehusika Kuondoa uwezekano wa...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Eneo linauzwa lipo Tegeta "A" Goba mpakani mtaa wa Mlimani City Dakika 2 tuu kutoka barabara kuu ya Mtaa ambayo itawekwa lami hivi karibuni. Kutoka site mpaka Goba Center ni mwendo wa dakika...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Chama cha mapinduzi kimejengwa katika misingi ya Utu na Uzalendo,toka kuasisiwa kwake. Look Dunia ya sasa, Geopolitics na mienendo ya dunia inahitaji kila taifa kujiimarisha haswa ktk uchumi,siasa...
1 Reactions
0 Replies
193 Views
• Direction: Mbezi Inn, 700 meters off Morogoro Road • Facilities: 3 bedrooms, 2 washrooms • Plot Area: 1,200 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 120 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓...
1 Reactions
1 Replies
353 Views
Habali ndugu zangu, Nafanya biashara ya maharage ya mbeya kuleta Moro na Dar. Kwa wateja wa madukani kwa bei ya makubaliano na aina ya maharage husika. Kama unaitaji maharage na upo maeneo...
2 Reactions
1 Replies
281 Views
Wakuu Habari. Mwenye aina hiyo ya printer anicheki Ofa yang laki 5. Pia nahitaji Lens ya nikon 50mm
0 Reactions
1 Replies
427 Views
Wana Bodi za jioni, Nina biashara ya steshenari huko pande za mikoani! Jana nilikua Kariakoo kufunga mzigo! Lakini lile duka ambalo nilikua nanunulia mzigo nilikua nashuhudia muuzaji akiwatuma...
10 Reactions
68 Replies
13K Views
Kiwanja kinauzwa Makongo CCM Kilomita moja kutoka Makongo Road Kiwanja kina njia pande mbili/Conner Plot Kiwanja kipo juu tambarare Kiwanja kina SQM 1500+ Kiwanja kinauzwa Milioni 210 tu(maongezi...
6 Reactions
8 Replies
831 Views
Kwa nini utuchague sisi kwa ajili ya kutoa huduma kwako? i) Kampuni yetu imesajiliwa katika mamlaka za Serikali kama vile BRELA, TRA na Manispaa/Halmashauri husika, hivyo tunatoa huduma bora kwa...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
ATTACH=full]3097487[/ATTACH]
1 Reactions
0 Replies
222 Views
Habari wakuu , dispensary iliyo na usajiri wa wizara ya afya na iliyopo Arusha mjini ,bei ni 150 millioni, inaitwa MT.MERU....inauzwa . Kwa MAELEZO zaidi wasiliana nami Dalali Lexus SUV...
1 Reactions
4 Replies
673 Views
Back
Top Bottom