Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Usihangaike kuhusu kusajili biashara yako tutakusaidia Huduma zetu: 1. Kusajili jina la biashara BRELA 2. Kusajili kampuni 3. Leseni ya biashara 4. Kusajili NIDA 5. Social Media Management 6...
5 Reactions
149 Replies
6K Views
• Direction: Kibaha Bus Terminal, 100 meters off Morogoro Road • Plot Area: 1,500 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 70 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ kiko levo ✓ miundo mbinu yote...
1 Reactions
0 Replies
287 Views
• Direction: Kinondoni Mahakamani • Facilities: 3 bdrm, 2 washrooms, servant quarter • Plot Area: 240 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 70 million (fixed) • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓...
0 Reactions
3 Replies
406 Views
How can i delete my thread? [emoji848]
0 Reactions
51 Replies
3K Views
Nyumba mbili zinapangishwa Kisota Kigamboni, barabara ya Damian Do Amsi Road, Kilometa 8 kutoka Feri). Nyumba moja ni ya vyumba 3 (self-contained with a master bedroom). Nyumba nyingine ni chumba...
0 Reactions
2 Replies
786 Views
Wakulima ili kujiongezea kipato chako katika kile unachokizalisha miliki mashine yako ya kusaga na kukoboa. Uweze kupack unga wako hakika utafurahia kile unachokilima na utawakomboa wengi...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Ni Camera 2 MP -Ina Wifi inayosaidia kukupa taarifa hata ukiwa mbali, endapo kamera itapata internet -Ina record video na sauti -Ina jizungusha kulia kulia na kushoto, chini na juu -ina detect...
5 Reactions
100 Replies
8K Views
Karibuni mnisupport wadau wenzangu. Mawasiliano 0769 055050 Nipples za kuku na nguruwe.
2 Reactions
8 Replies
384 Views
FAHAMU NJIA NZURI YA KUONDOA MAGADI(SALTS) SHAMBANI Katika mashamba mengi tatizo la udongo na ardhi kwa ujumla kujaa chumvi au magadi limekuwa tatizo kubwa kwa wakulima wengi kwani magadi au...
7 Reactions
21 Replies
18K Views
1. Meza ya Sherehe 450,000 (ya mzunguko wa viti 10 -12) 2. Kiti cha sherehe 80,000 (ni kiti cha kilo 7, sio vile vya 50,000) 3. Vitambaa vya Meza 50,000 (rangi mbalimbali) 4. Kreti ya Glasi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nyumba yenye kiwanja kikubwa inauzwa Tegeta kama ifuatavyo; 1. Nyumba in vyumba vitano Vitatu vipo juu, kimoja ni master na viwili vipo chini na public toilet, sitting, kitchen and dining. Ipo...
1 Reactions
2 Replies
488 Views
Njia 10 za Kuongeza Kiasi cha Kodi ya Majengo ya Kukodisha Majengo ya kukodisha ni mojawapo ya njia bora za kuingiza kipato cha muda mrefu na endelevu. Hata hivyo, ili kuongeza kipato kutoka...
1 Reactions
2 Replies
906 Views
Kiwanja kinauzwa,kipo Mlandizi Msufini sheli, Block J, kama unatoka Mbezi kipo mkono wa kushoto, kina ukubwa wa SQM 753 (39.56 urefu kwa 19.01 upana) ni kiwanja kwa ajili ya makazi. Kiwanja kipo...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Husika na kichwa hapo juu, natafuta gari aina ya Premio model ya kati wengi tumezoea new model. Au IST lakini pendekezo la kwanza ni Premio. Karibuni sana OFFER YANGU NI MILLION KUMI NA MOJA...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
• Direction: Tazara near Mfugale • Warehouse Area: 460 sqm • Rent: USD 2,300/month (payment in TSH is accepted) • Terms: 12 months • Brokerage fee applies • Viewing charge: TZS 30,000 . ✓ iko eneo...
0 Reactions
0 Replies
440 Views
Fikiria wewe ni mfanyabiashara mkubwa sana mjini, unamiliki kampuni iliyopata heshima kubwa. Baba yako ni mkuu wa majeshi mstaafu, kaka yako ni kanali wa jeshi, shemeji yako ni mbunge na mtoto wa...
3 Reactions
1 Replies
645 Views
natafuta nyumba ya kupanga hpa dar maeneo ya tabata|MBAGALA maeneo ya kipati,MISHENI,Sabasaba,kijichi kwa laki 100.000/= kwa mwezi vyumba 6 na kuendelea uwe na geti tayari pamoja na maji tafadhali...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
• Direction: Bahari Beach • Facilities: 4 bedrooms, 5 washrooms, swimming pool • Rent: TZS 1.5 million/month • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ inapangishwa bila samani (unfurnished) ✓ vyumba vinne...
1 Reactions
0 Replies
287 Views
Huenda unafanya biashara na raia wa Comoro au ulijaribu ila ukakutana na changamoto za hapa na pale. Au pengine ulikuwa unatamani kufanya biashara aidha kuuza au kununua bidhaa kutoka Comoro. Kuwa...
1 Reactions
70 Replies
15K Views
Habarini Wana JF kwa anaetaka kuanza biashara ya bajaji Karibu sana bajaji inauzwa na ipo vzr sana bei ni 3.2 million tu
0 Reactions
6 Replies
971 Views
Back
Top Bottom