Hekari 1.5 inauzwa kiluvya gogoni milion 250 ipo mita 400 kutoka lami Morogoro road
■Huduma zote za kijamii zipo kama umeme na maji
■Kuna kiwanda cha tofari kinafanya kazi hapo
■Hati ya...
Mkali ujenzi zone ni wataalamu wa
1. Kuweka waterproof ili kuzuia kuvuja kwa contemporary house(hidden roof)
2. Kapaua aina zote za paa(roofing)
3. Tunafanya waterproof service on the slab...
Having a website means customers are always able to find your business at anytime, anywhere. Even outside of business hours, your website continues to find and secure new customers. It offers the...
VIWANJA VINAUZWA GOBA KANTINA (MAKONGO ROAD)
Viwanja vipo mita 30 tuu kutoka barabara ya Lami ya Makongo.
Viwanja vipo tambarare kabisa.
Dakika 2 tuu kutoka site mpaka Goba Centre.
Dakika 15 tu...
TAWA WATER PROFFESIONAL
Ni kampuni ya uchimbaji wa visima.
Tunachimba visima Mashambani pamoja na kuchimba visima majumbani kwa matumizi binafsi.
Pia tunafanya utafiti wa upatikanaji wa maji...
Naenda kwenye point moja kwa moja. Jamani kama wewe ni mtu mwenye kupendelea kupendeza nyakati zote basi huna budi kumfikia huyu jamaa Location ni Mbezi beach Afrikana pia popote ulipo kwa Dar...
Lete Computer yako mbovu tukutengenezee!
Tunafanya Services aina zote za Computers
Tunauza Spares & Accessories za Computer aina zote
Tupo Ilala Dsm
0718290779
Mikataba katika masuala ya ardhi na majengo ni nguzo muhimu ya kulinda maslahi yako na kuepuka migogoro ya baadaye.
Kwa kuwa ardhi na majengo ni mali za thamani kubwa, bila mkataba ulio wazi na...
Shamba Heka Mbili Na Nusu Limeshuka Bei Kutoka Million 10 Mpaka Milioni 8 tu Lipo Kibaha Madafu
Mmiliki anachangamoto ya mgonjwa Mwenye Uhitaji Wa Shamba Aje Chap Tuongee Biashara, Shamba Liko...
Wakuu wote habar zenu...
Nauliza kama naweza kupata gari tajwa Kwa bei hiyo.
iwe namba D
Kama kuna atakayekwazika natanguliz samahani.
Naleta Kwa hatua yenu.
Hello tunauza mashine za kukamua juisi ya miwa
Sifa kuu inakamua na kuchuja yenyewe Huna haja ya kusumbuka
Pia Hutumia Umeme kidogo karibu sana
Tupo kariakoo mtaa wa masasi na ndanda
0774150519
Mtu asiyetaka kuagiza gari kununua nje anataka kununua tu hapa nchini.
Yadi ipi inayouza magari mazuri waaminifu Tanzania na Zanizibar na inachukua muda gani ukilipa kuchukua gari yako
Wazee naomba msaada nahitaji gari nzuri 4 wheel drive tunataka kukodi
Tarehe 17 mwezi huu kutoka Dar mpaka sumbawanga na kurudi. Safari itakua ina vituo mbalimbali kama Morogoro, Mikumi, Mbeya...
Hello good morning guys
Leo tuna huduma zifuatazo;-
1. Heslb Loan application
2. Tin no application
3. Ajira portal(ajira za ualimu)
4. Birth and death certificate
5 .University application...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.