Ni matumaini yangu kuwa wengi ni buheri wa afya na manaendelea vema na majukumu ya kila siku!
Ukweli kuwa wengi wetu tuna mategemeo makubwa kutoka Azam tv tofauti na ukweli ulivyo...
Lengo la...
ANDROID TV BOX YENYE IPTV ACC.. INA CHANNEL ZOTE ZA DSTV ZA MICHEZO, BURUDANI, HABARI, MUSIC.. SUPER SPORT ZOTE LIVE.. KAMA UNA INTERNET NYUMBANI AU OFISINI HAUNA HAJA YA DIKODA WALA MALIPO YA...
Nawezaje pata mtu wa kunipa mbuzi watatu kila siku au baada ya siku mbili kwa ajili ya kuimarisha biashara yangu ya nyama choma ya mbuzi, niko mkoani Morogoro wilaya ya Kilosa.
Biashara yangu...
Mashine za kufulia za kisasa zipo karibu yako kwa bei nafuu.
Ni za kilo 3.5 mpaka kilo 4
Mtu yoyote anaweza ku afford
Bei ni tsh 120,000 tu.
Kwa mawasiliano zaidi tunapatikana
Kwa 0772835536.
NB...
Shamba zuri lenye ukubwa wa ekari 150 linauzwa. Liko mkoani njombe tarafa ya Lupembe, kijiji cha lwanzali kwani miundombinu yote iko sawa, na kila ekari ni laki moja na nusu kwa mawasiliano zaidi...
Karibuni kiwanja wana jamiiforum, kipo sehemu nzuri kutoka kiluvya madukani mpaka kilipo nauli ni buku.
Kiwanja hakina udalali na maelewano yapo.
kwa mawasiliano zaidi karibu +255617011077...
Wajasiriamali tunawakaribisha mashine ya kukausha vitu mbalimbali kama samaki,dagaa,mboga,matunda au nyama.
Tunaitengeneza hapa hapa katika ukubwa tofauti kutokana na hitaji la mteja.
Mashine hii...
Wakuu poleni na majukumu, moja kwa moja kwenye point, niko Mkuranga nahitaji Pool table, mwenye ufahamu ni wapi naweza pata na gharama zake nitashukuru mno.
Nawasilisha nikiambatanisha na shukran.
Habari ya uzima.
Kwa MTU yeyote au Kampuni inayohitaji huduma ya usafirishaji mizigo , Local cargo au transit cargo , naomba tuwasiliane .
Tunayo Magari Aina ya flatbed pamoja Tipper
Haya...
Habari Wadau!
Sikuwahi kuwaza Kama ningekuja kuwa mfanyabiashara siku moja. Lakini hakuna ajuaye kesho. Ok nilihitimu Udsm 2019 tangu hapo sijawahi kupata kazi yeyote yakulipwa kutokana na elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.