Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Bei: TZS 33,111.39 (Original: TZS 57,089.89, punguzo la 42%) Bonyeza na Nunua Sifa kuu: Muundo wa 2-in-1: Suruali za nje za kukimbia na suruali za ndani za compression kwa msaada wa ziada...
0 Reactions
0 Replies
412 Views
Jipatie vitenge kwa shilingi elfu 10 vya kushona na 25 kuvaa bei ya jumla maelewano kwa namba 0763358287 tupo Mbeya karibuni wana JF family
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakubwa, natafuta mahali panapatikana spea za Samsung S10,S9,. Shida ni kioo tu
1 Reactions
2 Replies
638 Views
Nina kiwanda kidogo kinajishughulisha na ukamuaji wa mafuta ya Alizeti. Natafuta wateja wa mashudu ya alizeti. Nina tani tatu za alizeti kwasasa. Kiwanda kipo arusha kwa anaye hitaji nicheki...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Hello unataka kufungua bakery au mgahawa/hotel mashine zote utazipata kwetu Pia utapewa ushauri bure kabisa tupo kariakoo mtaa wa masasi namba zetu 0774150519
1 Reactions
8 Replies
1K Views
nauza cherehani aina ya singer kichwa cha cherehani meza ya cherehani kama utaitaji utapata na mota ndogo mashine ina uwezo wa kushona nguo vitambaa vya mpira ngozi HII CHEREHANI ILIKUWA...
0 Reactions
1 Replies
548 Views
Habari wakuu, nauza mfumo wa gas kwenye bajaj bei ni laki mbili.. Ila bado una deni la laki Saba na hamsini utaenda kumalizia mkopo wako. Mazungumzo yapo Wahi sasa
2 Reactions
3 Replies
558 Views
Karibuni sana Bei chee tunauza balo za mtumba grade 1 ukitaka nguo za kupoint zipo. Tuna balo za nguo aina zote. Gauni za kike Suruali za kike Mabwanga Skin and boyfriend jeans Mashati T-shirt...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Katika kipindi hiki cha likizo, anatafutwa mwalimu anayefundisha darasa la pili (English Medium). Kwa mawasiliano zaidi, piga simu 0682405461
1 Reactions
2 Replies
452 Views
https://www.jamiiforums.com/threads/nauza-maziwa-ya-ngombe-wa-kienyeji-na-ya-mbuzi.1865163/#post-52214680 Miaka ya nyuma nilikuwa nafanya biashara hii, lakini kwa sasa nimeachana nayo...
6 Reactions
26 Replies
1K Views
Salaam wakuu, Naombeni ushauri ninune gari gani kwa milioni 6. Nahitaji gari yenye fuel efficiency nzuri, space ya kutosha hasa mbele (mimi mrefu) pamoja na upatatikanaji spare. Nitashukuru pia...
5 Reactions
68 Replies
16K Views
Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote duniani na mbinguni. Kama kichwa cha Uzi kinavyo jieleza, nahitaji gari dogo lililotumika Kwa bajeti isiyozido ml. 6.6 Aina ya gari...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Subwoofer mpya aina ya ALITOP inauzwa na imetumika wiki mbili tu tangu itoke dukani Haina tatizo la aina yoyote ila nimepata dharula ndio maana nimeiweka sokoni Subwoofer hii ni size ya kati...
0 Reactions
0 Replies
371 Views
📢 TANGAZO LA KIBIASHARA 📢 Dar ITcare - Wataalam wa TEHAMA kwa Mahitaji Yako! Je, unahitaji suluhisho bora la kiteknolojia kwa biashara au taasisi yako? Dar ITcare tunatoa huduma za kitaalamu na...
0 Reactions
0 Replies
384 Views
🌟 Timeless Elegance Meets Affordability: PT950 Platinum Ring 💍 HomeJewelry 🌟 Timeless Elegance Meets Affordability: PT950 Platinum Ring 💍 The on Original PT950 Platinum Ring AliExpress combines...
0 Reactions
3 Replies
795 Views
PATA FIFA 14 PATCH 23 🔥 🔥 🔥 PES 17 PATCH 23🔥🔥🔥 KWA BEI POA KABISA UNAZIPATA GAMES HIZO KAMA MASHINE YAKO INA 4GB RAM ANGALAU CORE 3i ILA BEST ZAIDI IWE i5. Pia TUNAWEKA GAMES PS4 PS3 PS2 PC...
2 Reactions
46 Replies
4K Views
Habari tunauza body spray shilingi 6000 tupo Mabibo,Dar es salaam mwenye uhitaji aniicheki mawasiliano yangu 0714954609 0714954609
0 Reactions
0 Replies
322 Views
Habari wanajamvi, Nikiwa na passion, uzoefu kiasi ktk mchakato wa kuagiza magari Japan hadi mkononi. Nimedhamiria kama fursa kuleta wazo hapa namna navyoweza kuwasaidia wale wahitaji wa kuagiza...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Eneo: Wazo Hill, Tegeta Ukubwa: 1052sqm Hati: Miliki ya Wizara Nyumba: Mbili (moja ina vyumba viwili na nyingine ina vyumba vitatu) Bei: 210,000,000/- Ikiwa una nia ya kuinunua, unaweza...
1 Reactions
0 Replies
331 Views
Mwenye uhitaji wa hiki kiti tuwasiliane,kipo mbeya mjini,hakijawi tumika bado kipo kwenye box lake kutoka kiwandani
0 Reactions
4 Replies
519 Views
Back
Top Bottom