Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
Naomba kufahamishwa bei ya mti mmoja aina ya mitiki...
Natanguliza shukrani wakuu.
Natanguliza shukrani wakuu.
Unaulizia bei ya mti uliokomaa au?
Na mimi ningependa pia kufahamu
Huwa zinauzwa kwa mita za ujazo mkuu!
:confused2::confused2::confused2:
Pole mkuu! Kipi kimekuchanganya?
Mtiki wa aina gani unaoutakia bei?
Zinauzwaje mkuu?
naona kuna baadhi kwenye hii thread wanataka kujua bei zake, tusaidie tujue bei zake...
Inategemea na mnunuzi... mwaka jana mwezi Aprili nilipita Mvomero(Turiani).. wahindi wenye karakana za kuchana mbao walikuwa wananunua kwa wakulima wadogo Tsh. 10000 kwa mita moja ya ujazo.. sifahamu kama ni bei nzuri au ya utapeli
Wanaibiwa ukipata mnunuzi mzuri bei yake ni shilingi 100,000 hadi 150,000 kwa mita moja ya ujazo.[/Ni kweli mkuu?
Fufua makaburi mkuuu.Bei ya sasa ipoje?
Hesabu za kumotivate watu hizi ila hazina uhalisia kabisaFufua makaburi mkuuu.
Kuna mtu alinambia hekari moja unaweza kupata miti 600 kwa wastani.
Mti mmoja ukiuza kwa 200,000 maana yake kwa hekari anapata 120,000,000.
Assume umepiga hwkari tano tu na zimekubali vizuri.
Maana yake 120M zidisha mara tano = 6,000,000,000.
Kwa hiyo ukiwa na hekari zako 5 ukajikita na mitiki ukasubiri ndani ya miaka kadhaa basi 6bilions haukosi hasa kwa huko mbele na bei yake itakuwa imepanda.
NB : hizi ni tqarifa nimezisikia juzijuzi tu,kuna wakati wa nyuma kidogo nilisikia bei yake ina range baina ya 100,000 mpaka 150,000.
I hope kwa sasa itakuwa imepanda,ila na mimi nimesikia tu kwa wadau,sina uthibitisho wowote ule.
Lakini kila biashara ina hatari zake.
Nimeshasema kwamba na mimi nimesikia na haikuniingia akilini japokuwa hiyo miti ina pesa kweli.Hesabu za kumotivate watu hizi ila hazina uhalisia kabisa