Nauza laini za wakala Tigopesa, Mpesa, Airtel money na Halopesa na Selcom Machine
Laini za uwakala zote nne nauza kwa 300,000
Mashine ya selcom nauza kwa 200,000.(Inafanya kazi na ia hali nzuri)...
Hellow wapendwa nauza nguo za mtumba kali Magauni na tops kali pia.
-Magauni jumla utapata kuanzia sh 2000, 2500 tu hadi 3000 guys vigauni vizuri mnoo ambayo ukienda kuuza unapata faida kama...
Boresha Video na Picha zako kwa kutumia Ringlight zenye Ubora wa hali ya juu.
Zinafaa kwa wafanyabiashara na watu binafsi.
1. Saluni za kike
2. Saluni za kiume
3. Watu wa urembo na makeup
4...
Nyumba na Kiwanja Kinauzwa – Sinza Kijiweni 🌆
📍 Mahali: Ipo Sinza Kijiweni, karibu kabisa na barabara kuu ya lami.
📐 Ukubwa wa Eneo: Square mita 338.
💵 Bei: TZS 250 Milioni.
📄 Hati: Ipo tayari.
📞...
Nauza android tv box yenye iptv account,
Unapata channel zote zaidi ya 9000+ premium kuanzia super sport, canal sport, na bein sport, channel za watoto habari na music zote live mechi zote live...
Wazee kwema?
Nina tracks mbili hapa kiuno 36 unyama yani. Light grey(bottega) moja na nyuesi moja (versace). Ziko mbagala hapa.
Quality njema na yenye kupendeza, nguo mpya kabisa
Bei yake ni...
Hapa utapata
Cover 360
Back cover
Charger OG
Memory cards
Flash n.k
Cover kama hizi utapata mpaka kwa 4000 kwa reja reja na kwa jumpa bei inapungua zaid ya hapo.
Samsung
Tecno
Infinix
Itel...
Habari za wakati huu...
Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa...
Kiwanja kipo upande wa kulia kutokea Madale mwisho....
Kilomita mbili mpaka madale mwisho...
Kilomita mbili mpaka Goba njia nne...
kwa anaehitaji saloon ya kiume in a kila kitu mashine za kunyoa 2, vioo 3, viti vya kunyolea vya dukani 2 kiti cha wateja cha chuma vile special vya dukani kinakaliwa na watu watatu 1 ,shelf 2...
Habari ya asubuhi Waungwana, Poleni na Hongereni na Mapambano, Kwa wale wazazi, ndugu pamoja na Jamaa ambao wanahitaji watoto wao kufundishwa nyumbani (Darasa la 1 mpaka wale wanaosoma Vyuo vikuu...
Je wajua hata mtoto wako anaweza kumiliki gari tena Mercedes Benz!
Gari hii Inatumia betri ya kuchaji na umeme,(12v)
Music system (USB,memory card,aux,children songs and tales)
Inafaa watoto...
Habarini Wana JF nmeamua kuwaletea Fursa ya fremu ya Barabarani ambayo Haina udalali Wala nini unawapigia Moja kwa Moja wahusika.
Fremu iyo Kodi kwa mwezi ni laki 5
-Ipo G/mboto kabisa Karibu na...
Nauza Mashine ya kukamua na kuchuja alizeti no 120 ,umeme stree phrase, tani 6.5 per 24.bei 26,500,000 ,napatikana kwa namba 0713503753 tupo dar es salaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.