Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu Nilikua naomba kuuliz wapi naweza pata 7 nights energy drink kwa hapa Dar kwa bei ya jumla.??
0 Reactions
0 Replies
267 Views
0 Reactions
1 Replies
372 Views
Pata radio call kwa matumizi ya usalama na shambani. Mpya kabisa hazijatumika zipo 4. Bei Tsh 250, 000 kwa zote, maongezi yako. Zipo Dar 0652868486
1 Reactions
5 Replies
883 Views
Nauza Freezer kubwa la lita 200 kwa 550,000. HALINA SHIDA YOYOTE. Napatikana Dar es Salaam.
0 Reactions
1 Replies
337 Views
Helloooo I go by the name Ndelabhoy Barber, Mzaliwa wa Dar, Mkazi wa Mwanza Jinsia 🐐 Umri wangu 26# Karibuni saluni kwangu Pia nakunyoa popote ulipo tanzania, Me mgeni humu jf, naombeni support...
2 Reactions
14 Replies
421 Views
Ni mama nawatt wawili ninamiaka 30 ..kitu cha thamani nilichobaki nacho Ni iyo TV Tu sasa naiuza niweze kufanya biashara Na kulipa kodi naamin Mungu ataniwezesha ntanunua bdae mambo yaikaa Sawa...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Nina shida na fridge inayo tumia mafuta ya taa na nimetafuta kwa arusha sijapata na nilionana na yule mhindi Benson and Company anaye uza fifaa mbalimbali vya nyumbani akanieleza alikuwa nazo ila...
1 Reactions
18 Replies
7K Views
" New executive Lodge available Vacancy,front desk, house keeping and food production. Ukonga Dsm.Contact 0756001053
2 Reactions
0 Replies
246 Views
New executive Lodge available Vacancy,front desk, house keeping and food production. Ukonga Dsm.Contact 0756001053"
0 Reactions
0 Replies
186 Views
Salama wakuu.. Kuna system nzuri kwa ajili ya kumanage dispensary inauzwa Feautures 1. Kurecord wagonjwa 2. Kurecord Dawa 3. Mapato na matumizi 4. Laboratory 5. Taarifa za wagonjwa Bei ni nzuri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mitandio ya cotton na Mpira plain inapatikana Cotton bei ya rejareja sh 8000, bei ya jumla sh 7000 kuanzia mitatu. Mpira plain imebaki miwili, bei yake kila moja sh 5000. Mawasiliano 0784 829565
1 Reactions
61 Replies
6K Views
Mashine inauzwa bei kitonga sana, wahi kabla haijachukuliwa Device: Renovvo Processor - 2.16 GHz RAM - 4GB EDITION - Window 10 pro Version - 22HZ CONDITION: Used like New BEI : 280,000 (njoo...
0 Reactions
5 Replies
615 Views
Nauza mashine ya kukamua juisi ya miwa. Imetengenezwa sido. Inatumia umeme na imetumika kwa takribani mwezi mmoja. Ipo Kimara DSM Inauzwa Tsh 700,000/ Phone: 0675336219 Mashine bado ipo wadau
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Eneo linauzwa lipo kisemvule-kibamba lenye ukubwa wa square meter 1200. Eneo lipo na msingi wa nyumba ya sitting room, kitchen, vyumba viwili kimoja ni master room pamoja na public toilet. Eneo...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari wandugu naulzia gari aina ya ya starlet kwa anayeuza. Natanguliza shukrani. Model kama hiyo hapo chini
0 Reactions
3 Replies
492 Views
Jumamosi iliyopita nilihudhuria mahafali ya Darasa la Saba pale KOM Shule ya Msingi Manispaa ya Shinyanga. Binafsi sikuamini macho yangu kutokana na ubora wa hiyo shule kuanzia taaluma, majengo...
1 Reactions
3 Replies
482 Views
Nina flat tv mbili LG inchi 50 zote zina tatizo kwenye HDMI port. Natafuta fundi mtaalam ili aweze kunirekebishia tatizo hili. Wasiliana nami kwa simu namba 0675682895. Asante.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nataka kuku layers waliomaliza kutaga bei ya jumla 11,000 nipo dar es salaam, mawasiliano 0621 863 980,nataka kuanzia 1000+ na zaidi
0 Reactions
6 Replies
555 Views
Habari za wakati huu wanajukwaa. Naomba niulizie kwa anayepangisha fremu ya biashara kwa bei nafuu hasa kipaumbele changu ni maeneo ya Buguruni Malapa na Ilala japo nakaribisha wa maeneo mengine...
2 Reactions
2 Replies
442 Views
Eneo linauzwa lipo kisemvule lenye ukubwa wa square meter 1200, Eneo lipo na msingi wa nyumba ya sitting room, kitchen, vyumba viwili kimoja ni master room pamoja na public toilet Eneo lipo...
1 Reactions
6 Replies
695 Views
Back
Top Bottom