Solar Mikoa yote kwa gharama ile ile

Solar Mikoa yote kwa gharama ile ile

SNL SOLAR LTD

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
205
Reaction score
26
SOLAR zetu tunafunga kwa gharama ile ile haijalishi unafunga mkoa gani Tanzania.

SOLAR zetu zinafungwa kwa kuzingatia ubora wa teknolojia ya kisasa na unapewa warranty ya kutosha.

Pia tunafunga BACKUP ZA UMEME MAJUMBANI, MAOFISINI, MAKANISANI NA MISIKITINI.

NB: Gharama zinatofautiana kulingana na mahitaji ya mteja ndio mana inakua ngumu kutaja gharama halisia ila bei zetu zimelenga pia kuendana na ugumu wa maisha ya mtanzania wa sasa.

Tupo Sinza kwa Remy.
Tufollow Instagram @snlsolarltd @snlsolarltd
Facebook: SNL SOLAR CO. LTD
WASILIANA NASI 0714373488/0762246488/0784232526
1468473601268.jpg
 
SOLAR zetu tunafunga kwa gharama ile ile haijalishi unafunga mkoa gani Tanzania.

SOLAR zetu zinafungwa kwa kuzingatia ubora wa teknolojia ya kisasa na unapewa warranty ya kutosha.

Pia tunafunga BACKUP ZA UMEME MAJUMBANI, MAOFISINI, MAKANISANI NA MISIKITINI.

NB: Gharama zinatofautiana kulingana na mahitaji ya mteja ndio mana inakua ngumu kutaja gharama halisia ila bei zetu zimelenga pia kuendana na ugumu wa maisha ya mtanzania wa sasa.

Tupo Sinza kwa Remy.
Tufollow Instagram @snlsolarltd @snlsolarltd
Facebook: SNL SOLAR CO. LTD
WASILIANA NASI 0714373488/0762246488/0784232526
View attachment 366094
Mnauzaje panel kwa wat?
 
Gharama ili ile ndio sh ngapi mana sijui ilikua ngapi hiyo ile ile
 
Bei elekezi ndio humfanya mtu kujipima ubavu hivyo weka mambo adharani japo kwa kadirio, kuona bidhaa tu haisaidii hata mijini zipo.
 
Tanzania wabongo wengi wanafocus kwenye kuuza bidhaaa bila kutoa taarifa...kua na bidhaa dukani kwako na kuweza kuiuza kuna hitaji ujuzi wa sales ambao wengi hawana....
 
Tanzania wabongo wengi wanafocus kwenye kuuza bidhaaa bila kutoa taarifa...kua na bidhaa dukani kwako na kuweza kuiuza kuna hitaji ujuzi wa sales ambao wengi hawana....
Ni kweli kabisa
 
Hili ni tangazo la biashara au mipasho? Halafu makelele kibao. Ooh biashara ngumu. Itaachaje kuwa ngumu kama mambo menyewe ndo haya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom