Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natengeneza website 250,000 one time payment then after one year elf 7 kwa mwezi. Malipo ni baada ya kazi. Ntumie email "pgeorz0@gmail.com"
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Eneo lililopimwa lenye ukubwa wa 6acres lililo kandokando ya barabara ya lami (morogoro road) linauzwa.. Sehemu eneo lilipo: Kiluvya. Bei: Tsh 600milion. Contact: 0689315582
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Chagua bidhaa zetu za wallets,,, zenye ubora wa hali ya juuu kwa bei nzur ya punguzo,, wallets ni kal na ni pure leather unaweza follow account yetu ya instagram follow@bestleatherwallets...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa yeyote anaefahamu au kuhitaji karafuu nina mzigo wa kutosha naomba tuwasiliane hata kwa ushauri kupitia no 0716038818 naomba tumia sms.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nahitaji hiace dungu ya kununua, iwe manual, dizeli afu nzima kabisa. bajeti 15,000,000
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojinadi hapo juu wadau. Fremu ipo eneo zuri kabisa Dsm eneo la soko jipya la Kigogo fresh kama unaenda Chanika. Frem ipo makutano ya kituo cha daladala za Chanika -...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
180,000
0 Reactions
0 Replies
678 Views
Nahitaji kujua garama ya kutangaza jf kwa mwezi. Pia jinsi ya kubadili username naomba kuwasilisha
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwenye kuuza vitunguu vya China kwa jumla kwa boksi ra kg 10 sh ngap??
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Lenovo S856 Colour-Gold Dual sim Capacty- 8g New(full box)fast charger Price 350k Call 0656-816616
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kujua wap wanauza nawez kupata na bei yake kw hpa kwetu...kinajulikana kw jina la dr dabber
0 Reactions
1 Replies
970 Views
Msaada, Wapi naweza kununua nyama ya sungura jijini dar es salaam?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nipo dar natafuta vifaa vya bei ya jumla kama flash, memory cards, card treaders, photo printer, USB, memory card adoptors n.k. pamoja na fenicha za maofisini used (office chair used, meza yenye...
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Nauza wallets za ngozi,, za kike na kiume nipo dar,, ni wallet nzur za kisasa,, wahi sasa mawasiliano ni 0688121308,follow account yetu ya instagram Follow@bestlleatherwallets
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu, kwa wale wazoefu tafadhali naomba msaada wa maelekezo kuhusu utaratibu muhimu wa kufata katika ununuzi wa nyumba, Maana hali ilivyo kwasasa naweza nikaingia katika mikono ya matapeli...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Ipo -Dar es salaam Tz Mahali-Kimara Baruti via morogoro road -------------------------------- Ukubwa wa Kiwanja - Nyaraka za umiliki Ina-mkataba wa mauziano Toka serikali za mtaa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Natafuta mwenye kuuza vitunguu swaumu vya China boksi ra 10kg sh ngap Msaada wakuu
0 Reactions
0 Replies
853 Views
Nyumba ipo mapinga, nyuma ya secondary ya Baobab. Umeme na maji vipo karibu. Bei ni 12million negotiable. contact 0716548250.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habar Wanajamv Nauza Dslr Yangu hiyo Canon D1200 kwa 1.2M Ni mpya bado ina chager na lens 2 km unavyoiona!!! kama unahitaji njoo whatsapp au nipigie 0712988560
0 Reactions
0 Replies
5K Views
nahitaji kutengenezewa website wakuu ni pm nikupe deal
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…