Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habarini ndugu zangu namtafuta bwana shamba il akanichekie eneo chalinze km panafaa kwa kilimo cha tikit eneo langu lipo chalinze panaitwa mboga karibia na msoga my no 0653716282
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Ni moja kati ya sehemu nzuri kweli kweli kwa wapenzi ambao wana mpango wa kutembea au kwenda fungate. Ngorongoro crater lodge ni miongoni mwa sehemu nzuri ambazo unaweza kwenda na mpenzi wako kwa...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Hellows wana jf Ninauza seti za perfume kwa bei ya jumla na rejareja.... Seti moja ya kike inakua na perfume, spray, lotion na poda.. Seti moja ya kiume inakua na perfume, spray, sabuni na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
samahani was JF natafuta mahali pa kufanya kazi ya kujitolea iwe ni bank au taasisi yoyote lengo ni kupata uzoefu .Elimu ya yangu in Diploma in business administration specialized in marketing...
0 Reactions
0 Replies
846 Views
habari zenu wadau. nauza laptop yangu nzuri na kwa bei nafuu. ni hp, corei5, 4GB RAM, na HDD 320. Bei yake ni nyepesi tuu 550,000/= kama unahitaji tafadhali ni pm
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Bei 220000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
msaada ambaye anajua namna ninavyoweza kupata mbegu za vanilla. ..niko mwanza
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Gari hiyo nauza kwa bei ya milioni 5.3,haidaiwi gari ipo upanga dar
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Mzigo mpya upo Na vitu vyake vyote# 5s 16Gb Kwa 650,000/= tu kuna kanjaa
0 Reactions
2 Replies
957 Views
KWA MWENYE TOYOTA VITZ (NEW MODEL MWAKA 2007 KUJA JUU )AU RACTIS(MWAKA 2007 KUJA JUU) NICHEKI HPA 0783380123.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu, Natafuta mashine kubwa ya kuranda na kukata mbao, nahitaji kuitumia katika workshop yangu. kwa mtu ambaye anayo, tafadhali tuwasiliane kwa kunipm, isiwe ya Kichina wala ya Kibongo, iwe...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Simu iko katika hali nzuri,haina tatizo lolote,kama unahitaji 0672110065,nimeshindwa kuaplod picha hivyo nitakutumia whatsap kama unahitaji
0 Reactions
1 Replies
815 Views
Nauza nokia lumia 625 kwa 150k,iko kwenye hali nzuri,nimeshindwa kupost picha,0672110065 nikutumie picha whatsapp,
0 Reactions
0 Replies
669 Views
Natafuta fundi wa ujenzi mwenye uwezo wa kusoma ramani na kujenga. Ikiwezekana awe amesomea civil hata level ya veta grade one. Mawasiliano 0714374155 au 0753199179. Site ipo Dar viwege majohe.
0 Reactions
1 Replies
930 Views
Wakuu naomba kama kuna yeyote anayeweza kunielekeza jinsi ya kupata mashine nzuri ya kukoboa mpunga ikiwa ni pamoja na bei yake.
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Injini 3s.imelipiwa insurance na motor vehicle hadi 2017. Gari imrkamilika vitu vyote.Simu 0783085858.0769881984.0715075858
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sasa muone kwa matatizo mbalimbali sasa yuko nchini TANZANIA baada ya kutoka nchini NIGERIA,Tunatibu yafuatayo:-KISUKARI,KANSA,WANAUME KUWAHI KUFIKA ,WANAWAKE KUTOKWA NA UCHAFU SEHEMU ZA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimeshafika tayari hapa furahisha na watu ni wengi Toka juzi nilirudi home mwanza kutokea mkoani jirani.sasa leo nimeenda kwenye mkutano wa frank (SHILO) kwa ajiri ya kumsikiliza, ila kuna kitu...
2 Reactions
47 Replies
5K Views
Inaingiabline ya simu?memory card unauwezo wa kupiga kupokea simu n.k
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Anayejua maduka ya vifaa vya mazoezi vya bei poa haswa benchi na vyuma vya mazoezi vya kisasa Dar es Salaam tafadhali nifahamishe. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…