Biashara ya Mihogo

Biashara ya Mihogo

Greg50

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
1,979
Reaction score
2,494
Habarini wana JF.
Mimi ni mkulima wa mihogo, nina shamba langu nimelima mihogo. Sasa natafuta wateja wa miogo. Hivyo kama kuna dalali yeyote aliye tayari, aweke namba yake hapa tuwasiliane. Shamba lipo bungu kijiji cha msoro, bei maelewano.
Tahadhari: Siuzi shamba nauza mihogo iliyopo shambani.
 
Utapigwa mkuu, labda asiwe dalali wa Dar! Ni matapeli sana.

Labda upate mteja wa kuja kununulia huko huko shamba, lakini ukileta mzigo Dar watakuzingua nakuhakikishia.
 
Hakikisha unakua makini unapofanya makubaliano, wajanja siku hizi bora ukubali kuuza tu kuliko kukubali kuuza huko huko, usikubali mtu akuambie nakupelekea sokoni. Utajuta kulima
 
Umelima muhogo wa aina gani? Una heka ngapi?
Unauzaje?
 
Back
Top Bottom