Viti vinauzwa, bei maelewano

Viti vinauzwa, bei maelewano

Joined
Aug 9, 2016
Posts
22
Reaction score
5
Nitafute kwa namba +255 764 858 251 au +255 769 109 661

655dda679b4a05ccc585faa0993d6700.jpg

 
Mbao ya mninga
Basi ni bora sana.
Hongera sana kwa kutumia fursa hii.Maana hivi vya show rooms tunaita spesheli hivi ni majanga,muda mfupi tu nati zinaanza kuregea.
Tupende chetu wajameni eeeeeeeeee

Huku Zanzibar 90% ya hotels wanatumia furniture zinazotengenezwa hapa hapa na Local fundis.Wakati 80% ya nyumba zetu tunatumia furniture za kutoka nje ya nchi aiseeee,kaaazi kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom