Natafuta tender ya kusafirisha mizigo kutoka Arusha/ Moshi,
Nina gari semi trailers 2 za tonne 30 zinazokuja Dar kila wiki.
Bei kwa tonne ni maelewano, kwa mawasiliano Zaidi ni pm au piga namba...
Wakubwa natafta room maeneo ya kinondon mfano studio,mkwajuni,vijana,kinondon B au Biafra lkn iwe jiran na barabara nikipata chumba na sebule itakua poa sana ila kodi isizidi 100000 ukipata...
SLIM & TRIMS
1; PRO-SLIM TEA
* Accelerates metabolism and degradation of fat
* Burn fat as fuel to reduce the lipid content of the body
* Reduce absorption of dietary fat and helps lose weight...
Faida zakutumia pedi za BF-Suma (Guardian Angel Night & Day Sanitary); * Inazuai mionzi ya simu na aina yoyote ya umeme. * Inatibu magonjwa ya kuambiza kwa njia ya ngono (Isippkuwa ukimwi) *...
Wadau habarini za jioni, nauza simu aina tatu za samsung, s3,s4 na galax grand duos. Ni simu mpya kabisa zimeingia leo. Hizi simu nauzia nyumban au mkononi kwa maana haziko dukani maana kupata...
Kwa wale wakazi wa KAGERA-BUKOBA na maeneo jirani...
waweza kupata huduma za
1.installations of Microsoft windows and Debian
2.web-hosting with best 5 customizing web-hosting panels
3.Dbmsecurity...
Nahitaji sehemu ya ku print business cards kwa ubora wa hali ya juuuuu saaaaana na sio kubahatisha, napata tabu sana na wateja wangu wanaona design kali alafu nacho waletea tofauti kabisa. Kama...
Wakuu heshima kwenu.
Nina m8 nahitaji gari zifuatazo kama utawezekana.
Premio new model no. C au D.
Raum new model no.Cau D.
spacio new model no. C au D.
Vitz new model no C au D.
Zote hizo ziwe...
Habari za muda huu, ninatafuta nyumba nzima ya kupanga kwa ajili ya Ofisi.
Eneo: Sinza, Mwenge, Kijitonyama, Survey, Ubungo na Kinondoni na maeneo ya karibu na maeneo tajwa.
Ukubwa: vyumba vinne...