Kiwanja kinauzwa

Kiwanja kinauzwa

kichwapanzi

Member
Joined
Aug 30, 2016
Posts
50
Reaction score
23
Kiwanja kinauzwa maeneo ya mjohoron karibu na mosh mjin kabisaaa, kipo karibu na barabara kuu ya mosh dar, kinafaa kwa matumiz ya makazi au biashara au ufugaji bei mil 35 hakina dalali

size: 20 kwa 40

mawasiliano 0759124308
 
Kiwanja kinauzwa maeneo ya mjohoron karibu na mosh mjin kabisaaa, kipo karibu na barabara kuu ya mosh dar, kinafaa kwa matumiz ya makazi au biashara au ufugaji bei mil 35 hakina dalali

size: 20 kwa 40

mawasiliano 0759124308
Mjohoron ni eneo la kia, eneo hilo huwa kwa ajili ya maendeleo ya baadae ya uwanja wa ndege wa kimataifa.
 
Mjohoron ni eneo la kia, eneo hilo huwa kwa ajili ya maendeleo ya baadae ya uwanja wa ndege wa kimataifa.
hapana sijazungumzia mjohoron ya huko hii ipo mbele ya majengo kama unaenda njia panda
 
Kweli uncle Magu noma, wachaga siku hizi wanauza maeneo yao kinom noma wakati zamani ilikuwa mwiko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom