Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau habari ya leo? Nahitaji kununua tablet iwe nzuri na kwa bei nafuu. Naweza kupata wapi? Naomba msaada tafadhali
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Habari wana jf naishi tegeta nahitaji matetea kumi wa kienyeji kwa ajili ya kuongezea idadi ya ufugaji Wang wa Kuku wa kienyeji kwa kwenye nao anicheck +255 684 307127
0 Reactions
0 Replies
785 Views
Kipo kwenye kona ya mtaa Mita chache kutoka barabara kuu ya kwenda majumba sita kina ukubwa wa 86×60..bei in mil 80
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ina miezi miwili na accessories zake zote headphones kwa 275,000/=kama unahiitaji ni pm nipo Dsm tabata segerea
0 Reactions
4 Replies
990 Views
Yanahitajika mabati mengi sana kupaua godown kubwa sana. Weka quatation hapa na ubora wa bati tuwasiliane fasta
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Bei tsh 150,000
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani hivi flash Doors ndo milango gani jamani na ubora wake upoje, naombenikujuzwa wapenzi!
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu, Aman ya bwana iwe juu yenu. Naomba kuuliza bei ya soko la gari tajwa hapo kwenye Topic. Plate number APT, km zake ni 100670
0 Reactions
0 Replies
915 Views
Natafuta tender ya kusafirisha mizigo kutoka Arusha/ Moshi, Nina gari semi trailers 2 za tonne 30 zinazokuja Dar kila wiki. Bei kwa tonne ni maelewano, kwa mawasiliano Zaidi ni pm au piga namba...
1 Reactions
0 Replies
701 Views
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tubadilishane LG G4 Stylus na i phone 6. Naongeza na pesa. N.B The deal is not viable on Android phines. Call 0732 000 001
0 Reactions
0 Replies
502 Views
Karibu happiness www.happinessmassage.blogspot.com Tuna dawa za aina mbalimbali.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakubwa natafta room maeneo ya kinondon mfano studio,mkwajuni,vijana,kinondon B au Biafra lkn iwe jiran na barabara nikipata chumba na sebule itakua poa sana ila kodi isizidi 100000 ukipata...
0 Reactions
0 Replies
652 Views
SLIM & TRIMS 1; PRO-SLIM TEA * Accelerates metabolism and degradation of fat * Burn fat as fuel to reduce the lipid content of the body * Reduce absorption of dietary fat and helps lose weight...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Faida zakutumia pedi za BF-Suma (Guardian Angel Night & Day Sanitary); * Inazuai mionzi ya simu na aina yoyote ya umeme. * Inatibu magonjwa ya kuambiza kwa njia ya ngono (Isippkuwa ukimwi) *...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau habarini za jioni, nauza simu aina tatu za samsung, s3,s4 na galax grand duos. Ni simu mpya kabisa zimeingia leo. Hizi simu nauzia nyumban au mkononi kwa maana haziko dukani maana kupata...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kiwa kipo karibu na hospitali ya tumbi kuina ukubwa wa heka moja kipo karibu na barabara. BEI SH 4500000
0 Reactions
57 Replies
8K Views
Natumaini Mpo salama... Nauza king'amuzi changu cha Continental cha Antena kwa bei rahisi sana. Cheki me kama wahitaji
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa wale wakazi wa KAGERA-BUKOBA na maeneo jirani... waweza kupata huduma za 1.installations of Microsoft windows and Debian 2.web-hosting with best 5 customizing web-hosting panels 3.Dbmsecurity...
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Back
Top Bottom