Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji sehemu ya ku print business cards kwa ubora wa hali ya juuuuu saaaaana na sio kubahatisha, napata tabu sana na wateja wangu wanaona design kali alafu nacho waletea tofauti kabisa. Kama...
0 Reactions
4 Replies
982 Views
Kwa mahitaji ya viwanja, vilivyopimwa Na ambavyo havijapimwa, nyumba zakununua Tegeta Kibaoni WhatsApp/Call 0715476787
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Wakuu heshima kwenu. Nina m8 nahitaji gari zifuatazo kama utawezekana. Premio new model no. C au D. Raum new model no.Cau D. spacio new model no. C au D. Vitz new model no C au D. Zote hizo ziwe...
0 Reactions
6 Replies
702 Views
Habari za muda huu, ninatafuta nyumba nzima ya kupanga kwa ajili ya Ofisi. Eneo: Sinza, Mwenge, Kijitonyama, Survey, Ubungo na Kinondoni na maeneo ya karibu na maeneo tajwa. Ukubwa: vyumba vinne...
0 Reactions
1 Replies
786 Views
Mwaka : 2000 Mafuta : dizel Rangi : silver Cc : 3150 Model : QD Bei: 14 m Mawasiliano: 0767 425555,Arusha Sababu za kuuza: nataka niongezee ninunue gari nyingine ya biashara. Gari iko...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nakupa simu aina ya samsung GT-E108sF pamoja na 50,000 cash utanipa simu gani ya smartphone? nipo dar namba ya simu 0656899091
0 Reactions
2 Replies
917 Views
ofa ofa ofa nunua perfume moja ya kike au kiume na upate deodorant moja au nunua seti ya novage skin care (kuondoa uchovu 25+, kung'arisha 25+ au kutoa mikunjo uson 35+) na upate shower gel moja...
0 Reactions
3 Replies
976 Views
for local contact and more details please call the following numbers +255784410223 - Patricia +25578082424 - Office You can register online on this link: Esri Eastern Africa User Conference –...
0 Reactions
0 Replies
884 Views
Nyumba inauzwa bunju A.Ina vyumba 4 umbali kutoka barabarani ni km moja na nusu.Bei ni 150M.Karibuni sana 0756224239
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Hi wanajamii, nahitaji kijana mbunifu wa kunitengenezea APP yangu, nitumie na references zako nione, propose bei, though tutanegotiate, bei iwe nafuu wajameni maana zile bei za kuchaji corporate...
0 Reactions
1 Replies
688 Views
Heshima yenu wakuu Kama kichwa kinavyo jieleza, natafuta mihogo ninunue ambayo imesha vunwa
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Nauza Pool table Arusha, Ni pool ya kete ndogo, ipo katika hali nzuri. Ina vumbi, inataka kusafishwa Angalia picha, Kwa taarifa zaidi au kuiona Piga 0718 653 453 Bei 550,000
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Tunapenda kukualika 2 days leaders and Youths fellowship conference by Victor Nkomo kutoka South Africa ni week hii ijumaa na jumamosi tarehe 26 na 27 Katika hotel ya Midland, iliyopo mtaa wa...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Nina kampuni ya kuuza ASALI inaitwa HONEY SPRING iliyopo Morogoro Mjini na ninauza ASALI YA NYUKI WADOGO toka TABORA. Natafuta mjasiriamali aliepo ARUSHA MJINI nifanye nae biashara kutokana na...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Haya hayaaa wakazi wa ARUSHA Gari hilo hapo kazi kwenu Aina CR-V Namba A Ilipo;Mkoa wa ARUSHA Mapungufu yake 1.Tairi za mbele zimeisha kidogo 2.bodi imepigwa na jua kidogo 3.system;automatic car...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
COMPANY ya kukusanya vyuma chakavu zinatafutwa, Hii ni kampeni ya Nchi za Scandnavia, ya kukusanya vyema chakavu na kuvituma huko, kinachotakiwa ni Kampuni yenye uwezo mkubwa wa ukusanyaji wa...
1 Reactions
0 Replies
860 Views
Kamata ticket yako ya nyama choma toka tecno Kampuni maarufu ya simu Tanzania imekuja na tiketi za kuifanya wikiend yako iwe imara na ya furaha ha ukizingatia ni mwisho wa mwezi ambapo kila mtu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ni mkulima toka Dodoma. Nimelima nyanya lakini soko ni tatizo. Msaada kwa mwenye kujua soko tafadhali 0629 046084
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dealers Business card, Brochures, Posters, Calendar, T - Shirt & Caps printing, PVC Stickers, Wheel Covers, Card etc you are welcome 0758339065/0673339065
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Back
Top Bottom