Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

zipo eka tatu,karibu na mto,maji yanaptkna muda wote,kwa kilimo cha umwagiliaji,ufugaji wa samaki,bei milion na nne na nusu kwa eka zote tatu,maongezi zaidi pm
1 Reactions
1 Replies
718 Views
Naiza hii navara sh mil 19 Nipgie 0688799112.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
#Haya sasa Apple hilo hapo limetulia Iphone#5c Gb 32
0 Reactions
2 Replies
738 Views
Mifumo midogo pia ya Solar inapatikana kwa gharama nafuu zaidi. Huduma zetu ni kwa mikoa yote. Tufollow Instagram @snlsolarltd @snlsolarltd TuLike Facebook: SNL SOLAR CO. LTD OFISI ZETU ZIPO...
0 Reactions
0 Replies
739 Views
Mifumo midogo pia ya Solar inapatikana kwa gharama nafuu zaidi. Huduma zetu ni kwa mikoa yote. Tufollow Instagram @snlsolarltd @snlsolarltd TuLike Facebook: SNL SOLAR CO. LTD OFISI ZETU ZIPO...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iwe na fw na hali nzuri CABRETA AU INJECTION MILLEDGE KIDOGO Mafundi wangu wataikagua mtumiaji awe ametumia matumizi ya kawaida bei mil 4500000 no 0718493001 KARIBUNI TUFANYE BIASHARA YA...
0 Reactions
2 Replies
815 Views
Habari za asubuhi wakuu, Kwa anayefahamu zilipo ofisi za kampuni ya Bunwani enterprises, kampuni ya kuchimba visima naomba msaada. Ipo Dar es Salaam, sijajua ni Dar sehemu gani.
0 Reactions
0 Replies
945 Views
Habari wa JF naombeni msaada wa maulizo kwa mtu anayemiliki mgahawa kuna vitu nataka kuvijua msaada ....ani PM
0 Reactions
0 Replies
551 Views
Navitafuta hivi vitabu kwa mwenye navyo wakuu au anayejua naweza vipata wapi. 1. The Forbidden Subject 2. The Partnership By Aboud Jumbe. Natanguliza shukran.
0 Reactions
4 Replies
976 Views
Nyumba ina vyumba 3 kimoja ni self, ukubwa wa uwanja 2000sqm na kimepima na kina hati yaani Title did ya miaka 99 bei yake 220ml Kwa maelezo na kuhitaji kuja kuiona wasiliana nami kwa 0756060183
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Je wewe ubasumbuliwa na moja ya haya yafuatayo;- # Kisukari. # Shinikizo la damu. # Maumivu ya viongo. # Upungufu za nguvu zakiume. # Upungufu wa kinga mwilini. # Mtoto anasumbua Kula, anakua kwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nauza mbegu za maboga kavu,1kg 6000/= Sms 0689095488
1 Reactions
1 Replies
950 Views
Kiwanja kinauzwa kipo kitunda machimbo ukubwa mita 38 kwa 36. Na kina room mbili mwenye kuhitaji piga namba 0713669533. Picha zipo. Wateja mnakaribishwa. Madallali pia.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jeep 2010 limited edition. Bei: Million 29 Imported to Tanzania in 2012 Mileage: 22,000km 240km speed Automatic na semi manual 4WD (Maelewano yapo)
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Niko unguja fuoni nimuda sasa natafuta chumba cha kukodi lakini sipati kwenye kuweza kunisaidia anisaidie
0 Reactions
0 Replies
1K Views
4WHL IWE VIZURI HAIJATUMIKA SANA
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Je unahitaji mabox ya kufungashia cake? Tuna mabox yenye ukubwa mbalimbali kwa ajili ya kuhifadhia keki. Popote ulipo Tanzania tutakufikishia mzigo. 0754810853 na 0755092734
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za leo wakuu....nauza pumba ya mahindi ipo kibaigwa dodoma....jumla ipo gunia 300 za kilo 70 kila moja. Punba nauza kilo tsh 200 na tshs 14000 kwa gunia. Usafiri ntamuorganizia. Karibuni...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Naombeni mwenye kujua bei ya mashine ya max malipo anisaidie niijue, lakini pia nahitaji kujua Kama nikiinunua hiyo mashine itakuwa imeshaunganishwa na huduma mbalimbali Kama tigo pesa, Airtel...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Back
Top Bottom