Habari,
Kuna mdau alifungua biashara ya Diapers lakini amepata uhamisho kwahio anauza mzigo wake wote kwa bei ya Jumla.
Kama unahitaji mawasiliano nae tafadhali njoo inbox (DM)
Habarini za muda huu mi ni mjasiriamali nimefanikiwa kufungua duka la dawa tegeta, linafanya kazi kwa sasa limekaguliwa hatua ya kata(wilayani) na fomu ziko tayari kwenda manispaa kwaajili ya...
Bata mzinga na vifaranga wa bata wa kawaida wanapatikana,
Kwa bata mzinga wakubwa ni Sh.70,000-150,000 na bata mzinga wadogo ni Sh.30,000
Kwa bata wa kawaida vifaranga ni Sh.10,000.
Kwa...
Key Features
Model: 49uf640
ULTRA HD 4K Resolution
Triple XD Engine
WI-FI built in
LAN
Lg store apps
Full Web Browser
Smart TV with webOS
Ultra HD 4K Streaming
4K Upscaler
IPS 4K Panel
Magic...
Habari wana jukwaa,sisi tunajishughulisha na uchimbaji wa visima pamoja utafiti wa maji ( ground water survey ) kwa bei rahis.
Tunachimba kwa shillingi elfu sitini kwa mita moja na tunaweka pampu...
Description
The Main Specifications:
Product Type:10000mAh Power Bank
Brand:Remax
Color:Red,Blue,Yellow
Battery Type:Polymer
Capacity:10000mAh
Work Temperature:5℃-45℃
Input Voltage:DC 5V
Output...
Brand new!!
Series: 5
Model: J5100
Full HD 1920 x 1080 resolution
Clear motion rate 100
Wide color enhancer
Connect share USB
connect share HDD
connect share TRANSFER
sound out 20w
Story replay...
Infinity Alluminium Pvr, ni wataalamu wakutengeneza madirisha, milango, makabati na vifaa vyote vya alluminium.
Bei zetu ni nafuu sana na tutakufikia sehemu yoyote ulipo ndani ya Dar es salaamkwa...
Ninauza mbao za miti aina ya pine kutoka Iringa za size zifuatazo: 1 kwa 10, 1 kwa 8, 2 kwa 6, 2 kwa 4 na 1 kwa 6. Na urefu wa futi 12.
Kwa mahitaji yako ya mbao kwa jumla na reja reja kwa Dar es...
Habari wana jukwaa,sisi tunajishughulisha na uchimbaji wa visima pamoja utafiti wa maji ( ground water survey ) kwa bei rahis.
Tunachimba kwa shillingi elfu sitini kwa mita moja na tunaweka pampu...
Natanguliza salamu kwenu wanajukwaaaa...............
nafikiria kuanza biashara ya kuuza cd za movie ambazo maarufu sana dar sehem za uswahilini uzikosi hizi zile wanazoita feki ambazo zinzpgwa...
Sony Xperia Z3 ambayo ina mwezi 1 tangu kuinunua inauzwa bei ni 400,000 napatikana kigamboni, sifa za simu ina 16 gb ROM na RAM ni 3 gb, ina 21 megapixel camera, marshmallow android version, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.