Raum New Model...
Metallic Silver, sporty tires 15', Pimped, iko vizuri sana, no dent, no accident... number C..!! Well maintained..!!
Bei 10.5 Mil... pics zinakuja...
PM me for What's up
we # RUNGWE TRADING CO LTD. deals with clearing and freight forwading across international boundaries. we gives you the delivery satisfaction you have been missing. we # locate at mnazi mmoja...
Wadau, habari zenu?
Wapi kwa hapa Tanzania naweza kupata materials + wataalamu wa kunitengenezea floor na ukuta wa bafu langu la mbao isipenyeze maji katika mbao?
Habari za weekend.
Kwa wale wasichana au akina mama wanaosoma/watakaosoma vyuo mbalimbali Nairobi Kenya,ninawatangazia kuwa kuna hosteli ya jinsia ya kike pekee inapatikana katikati ya jiji la...
Nauza Plot TABATA segerea eneo halijapimwa lina ukubwa wa sq metre 589 urefu 27 upana upande mmoja ina 18 mwingine 22 bei ni 20 million mazungumzo yapo umbali toka kituo cha daladala hadi kwenye...
Chumba self kinatafutwa maeneo ya Magomeni au Manzese...
bei isizidi elfu 50 kwa mwezi..
NB;Kikipatikana hata Ubungo siyo mbaya
Nijulishe PM kama unacho
Nimefuga kuku wengi wa kienyeji, ningependa kupata soko la uhakika hasa miji ya Dar, Moro na Dom.Naweza kukuletea mahali ulipo kwa order ya kuku wengi. Kuku wangu ni wenye afya na wamechanjwa...
Wadau natumai ni wazima,
Naomba msaada wa namna ambavyo naweza kupata mashine ya kuchimbia visima virefu hadi 200Metre,bei yake, na matumizi ya mafuta (petrol/diesel), pamoja na specifications...
Natafuta kontena futi 20, lakukodisha, baada ya mda naweza nikainunua kama utaitaji, pawe nauwezekano wakulihamisha, seham nyingine. nipo Dar es salam sinza. kwayeyote mwenye ufaham nitafute...
Kiwanja kinauzwa maeneo ya mjohoron karibu na mosh mjin kabisaaa, kipo karibu na barabara kuu ya mosh dar, kinafaa kwa matumiz ya makazi au biashara au ufugaji bei mil 35 hakina dalali
size: 20...
Mawasiliano, 0718887009, 0758266736 . karibu, kwa gharama hiyo utapata mzigo ulipo.
Hiyo ni bei ya jumla. Tunatuma mikoani kiwango unachohitaji. Angalia picha
Habar wanaJF. Natoa offer ya kumtengenezea yoyote anayetaka website kwa kutangaza biashara yako kwa urahisi. Usisite ku pm kama unahitaji website kwaijir ya biashara yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.