Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

mayai ya kienyeji original kabisa siyo chotara, bei 15,000 kwa tray ukitaka nusu tray utapatiwa mawasiliano 0718508004
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hbr wakuu, naitaji used printer hp laserjet pro 400 colour printer au pro 200, hata kama ilikwisha haribika nicheki. Inatumia cartridge nne, namba 131A ( black, cyan, yellow na magenta) Bei...
1 Reactions
0 Replies
833 Views
Good Evening English learning centre tunafundisha kiingereza cha kuongea na kuandika kwa watu wote. Pia tunafundisha kusoma, kuandika na kusoma kiswahili kwa wasiojua. Tupo; Kinondoni Manyanya...
0 Reactions
3 Replies
924 Views
Tecno L8 mpya haijafunguliwa full box
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Tunajari Ubora wa kazi zetu. Kwa huduma zote za Solar na vifaa vyote vya solar kwa gharama nafuu. Tupo Sinza kwa Remy. Tufollow Insta @snlsolarltd @snlsolarltd TuLike Facebook: SNL SOLAR CO...
1 Reactions
4 Replies
949 Views
Kuna mzigo mkubwa wa kambale zaidi ya 20Tonnes. Wapo tiyari kwa kuuzwa kuanzia gram 800 hadi 1500. Wanapatikana Mwanza. Nitafute kwa 0759741303 kwa mteja aliye serious.
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Nyumba ya ghorofa moja iliyo na fensi yenye hati iliyo kwenye kiwanja kikubwa .. yenye vyumba vinne master, sebule, dinning, jiko na choo cha umma ndani kwa 79m Mbezi mwisho 0689315582 /...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
.
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Tunajari Ubora wa kazi zetu. Kwa huduma zote za Solar na vifaa vyote vya solar kwa gharama nafuu. Tupo Sinza kwa Remy. Tufollow Insta @snlsolarltd @snlsolarltd TuLike Facebook: SNL SOLAR CO...
0 Reactions
0 Replies
598 Views
IPHONE 5C inauzwa iko unlocked with gevey.. Clean condition.. Unapata waya na cover... Call,Text &WhatsApp 0625690081 bei 320,000
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hostel for rent. Near NIT Mabibo 10 minutes walk, along the road suitable for students at IFM, CBE, MUHAS, UDSM and colleges nearby. Single bus to all these places.PM owner. Clean and secured...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
WAHI YAKO SASA ZIMEBAKI CHACHE Pata Brand New Externsl Hard Disks size 1000GB Tsh.195,000/= Buy one and get* 500 movies*(More than 20 2016Movies) 50 series* 10 PC Games* 60music albums*...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Habari! Kiwanja chenye ukubwa wa 16501sqft kinauzwa. Kipo katikati iringa mjini. Nyuma ya CCM. Kina jengo juu yake. Kipo well documented. Kimepimwa na kulipiwa kila kitu ikiwamo kodi ya ardhi...
0 Reactions
0 Replies
747 Views
BOXER SAFI NA NZURI ZA KIUME FROM TURKEY PURE COTTON ZIMEWASILI KWA BEI YA 6500 TU JIPATIE YA KWAKO SASA , KWA WALE MLIONUNUA MZIGO WA MWANZO MKATAKA ZINGINE MZIGO NDO UMEWASILI NILIPOTEZA SIMU...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Nyumba ni nzuri ya kisasa ina vyumba vi 3 na vyoo vitatu ipo ndani ya fensi ina maji na umeme pia ina tank la kuhifadhiamaji. Bei yake ni laki 6 kwa mwezi mazingira yake ni mazuri mno for more...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu kwa waliopo mwanza nauza simu pendwa hapo juu!! simu ina miezi miwili tu na haijawahi kuchokonolewa ni mpya kabisa kama imetoka. dukani nauza 600k kwa watakao hitaji wasiliana nami kwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
i
0 Reactions
0 Replies
516 Views
Ndg wanajamvi kwa yoyote anayefahamu bei ya vitotozi vya vifaranga naomba anijulishe vinauzwa kiuzwa kwa kiasi gani,maana nataka kuingia kwenye ujasiliamali wa ufugaji wa kuku.Pia nahitaji ushauri...
0 Reactions
0 Replies
769 Views
Natafuta mtu anayesafiri kwenda dubai. Nina mzigo mdogo huko dubai nahitaji uje Tanzania.
0 Reactions
1 Replies
661 Views
Back
Top Bottom