Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hii ni zaidi ya Offer.!! TV nchi 32 Showcase King'amuzi cha Azam chenye malipo ya mwezi na Dish lake. Saboowfer Cables zote. Vyote 400,000/=
3 Reactions
8 Replies
767 Views
Wakuu poleni na majukumu, moja kwa moja kwenye point, niko Mkuranga nahitaji Pool table, mwenye ufahamu ni wapi naweza pata na gharama zake nitashukuru mno. Nawasilisha nikiambatanisha na shukran.
2 Reactions
7 Replies
561 Views
Habari ya uzima. Kwa MTU yeyote au Kampuni inayohitaji huduma ya usafirishaji mizigo , Local cargo au transit cargo , naomba tuwasiliane . Tunayo Magari Aina ya flatbed pamoja Tipper Haya...
3 Reactions
6 Replies
495 Views
Habari wakubwa!!! Nahtaji kujua bei ya mashine ya kuprint mifuko ya mazao kama Michele mpunga mahindi unga nk na mawasiliano kama Kuna Mtu anajua
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Wadau! Sikuwahi kuwaza Kama ningekuja kuwa mfanyabiashara siku moja. Lakini hakuna ajuaye kesho. Ok nilihitimu Udsm 2019 tangu hapo sijawahi kupata kazi yeyote yakulipwa kutokana na elimu...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Nauza hii freezer ya West Point inagandisha barafu na umeme ukikata inaweza Kaa masaa 12, haina shida yoyote, inapatikana kijitonyama dar es salaam. Bei ni 300,000. Oven 80,000 Deep fryer 100,000
1 Reactions
4 Replies
639 Views
Halina shida yoyote ni 100% Msasani bei ni fixed 380k aipungui, hivo hakuna maongezi please🙏 +255685909105
2 Reactions
7 Replies
633 Views
Karibuni sana vunjabei mtumba grade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 kutoka China Dubai uturuki Canada Tuna balo za nguo aina zote kama Gauni jeans suruali Koti blouse skirt tshirt jeans...
0 Reactions
2 Replies
914 Views
Habari wadau! Kwa mnaoguswa na tozo kama mimi poleni sana. Naomba kuutaarifu umma kwamba niko njiani kuingia kwenye biashara ya nguo za mtumba. Nimedadisi kiasi fulani nikaona nguo za mtumba ni...
5 Reactions
6 Replies
4K Views
Solar water pump, zinapatikana kwa bei ya punguzo. Ili kujua bei na pampu inayokufaa tupe maelezo yafuatayo -Aina ya chanzo cha maji. -umbali toka chanzo hadi maji yapohitajika kufika. -mwiunuko...
2 Reactions
9 Replies
924 Views
Natafta posi ya kununua ya benki za CRDB na NMB kwa yeyote atakua nazo naomba anitafte inbox tufanye biashara
1 Reactions
8 Replies
742 Views
Wakuu naleta uzi huu mimi ni mkulima wa bamia nipo Dar es Salaam nauza kwa bei ya shambani kama utakua mfanya biashara wa bamia au unafahamu madalali wa kununua mzigo kwa bei ya shambani au masoko...
4 Reactions
11 Replies
898 Views
Habari Kulingana na mahitaji ya furniture za mbao na chuma katika mazingira yetu ya kazi, ofisini, mashuleni, vyuonI, taasi mbali mbali na majumbani Sisi kama wabobezi na watengenezaji wa haina...
0 Reactions
3 Replies
960 Views
Wakuu kuna dada mmoja anajihusisha na uuzaji wa simu za Infinix ila simkumbuki na uzi wake sijaupata humu jf. Hivyo kama bado anaendelea na huduma hii naomba tuwasiliane. Nawasilisha.
1 Reactions
3 Replies
475 Views
Mwenye huitaji wa hii kitu, wapenzi wa radio za zamani
4 Reactions
34 Replies
1K Views
Husika na kichwa Cha habari hapo juu ,salamu haikuongezei thamani . Mwenzenu nipo mkoani Kagera specifically katika mji wa Bukoba mjini ,popote mlipo mnaojua mnakodisha magari madogo kwaajili ya...
3 Reactions
10 Replies
870 Views
• Direction: Basihaya, the road to Ununio, 600 meters off Bagamoyo Road • Facilities: 4 bedrooms, 3 washrooms, 1 car garage • Plot Area: 1,122 sqm • Document: Title deed • Forced Value: TSH 125...
0 Reactions
0 Replies
366 Views
Viwanja hivi vimeshapimwa na vina bikoni vipo Jijini Dodoma, wilaya ya Dodoma mjini kata ya Nara karibu kabisa na barabara ya Mwanza Vina ukubwa kama ifuatavyo 25 x 30 = Tshs 3,500,000 25x56=...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Back
Top Bottom