Hello wana jf, kama kichwa cha habari hapo juu, nahitaji sehemu ya kilimo, nje kidogo ya dar es salaam, eneo kwa ajili ya mradi wa mboga mboga. Kama heka 1 hivi, nahitaji pawe na maji ya uhakika
Heshima kwa wote. Nnarafikiyngu anatafuta pikpik aina San lg used kw mwny nayo naomb anitafute pm tuelewane bei.iwe katika hali nzuri isiwe imetumika zaidi ya miezi sita. Karibuni!
Kiwanja chenye ukubwa wa sq metre 486 yani urefu 27 upana 18 bei ni 15 mill maongezi yapo kipo mita 900 toka ilipo stand ya daladala ya TABATA segerea hakijapimwa ukihitaji wasiliana nami kwa...
Karibu ORIFLAME ujipatie bidhaa bora za urembo zitokanazo na mimea asili na matunda,hutojuta kutumia..
Tuna makundi manne ya vipodoz
1.) Skin care - hii inahusika na vipodoz vyote vya uson...
Nafasi za masomo ya Pre – form one
Uongozi wa (T.A.C) unawatangazia wazazi wote kuwaleta watoto wao waliomaliza darasa la saba ili kuwapatia mafunzo yatakayowaandaa kuanza elimu ya sekondari...
Salaam wana JF. Naomba mwenye uelewa wa maduka yanayouza kengele za getini. Kengele zenyewe ziwe za kuonyesha picha kwenye screen ambayo imeunganishwa na hiyo kengele ukiwa ndani. Kwa ambao...
Habari zenu, heri ya Jumapili.
Napenda kufahamishwa kwa mtu anaewajua mawakala wa kutafuta scholarshp abroad. Kuna siku niliona kipindi cha mahojiano ITV au Channel ten sikumbuki vizuri. Alikua...
​:peep: WAKUU HABARINI...NATAFUTA NYUMBA ILIYOJIFICHA MAENEO YA MIKOCHENI B,NYUMA YA TANESCO MIKOCHENI,MBEZI BEACH,,,NATAKA NIFUNGUE BIASHARA YA MASSAGE HIVYO NDO MAANA NATAFUTA NYUMBA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.