Jupatie Kiwanja chenye ukubwa wa mita 20 X 20 maeneo ya Kidimu-Kibamba mpakani na Kibaha kwa bei nafuu ya sh. 2m.
Barabara zipo hadi viwanjani.
NB: Upimaji wa eneo hilo utaanza mda wowote kuanzia...
Kwa anayeweza kukopesha 3m na arudishiwe milion moja na laki mbili kila mwezi kwa mda wa miezi mitatu.. Mkopaji ana kazi nzuri tu mwajiriwa Sema anahitaji mkopo wa haraka wa 3m ajazilizie kwenye...
Kama una-
1. mini-supermarket
2. Pharmacy
3. wholesale shop
4. Hardware
5. nk
Umehangaika sana na mahesabu kujua faida na hasara mpaka upige hesabu mwisho wa mwezi
hujui bidhaa gani zinaenda...
Wakuu mm nimekuwa mmoja Kati ya watu wanaoamini katika betting. Juzi jumamoc Nimeweka mkeka Wang meridianbet Kwa dau la elfu hamsin na possible winning ilikua million 26 nilijiachia kwa hicho kiac...
Wakuu wasalaam,
Kichwa cha habari chahusika, natafuta frem ya biashara iwe maeneo ya kinondoni, makumbusho, mwenge au tabata. Kwa mawasiliano zaidi nione pm.
Nawasilisha.
Preparation for the 2016 National Form Four Examinations for business studies begin saturday October 1st, 2016 at EABMTI offices Msasani Peninsular. We will conduct review classes for Commerce...
Habari wadau,
Nauza lexus is200 bei ni 6 million
6 cylinders, Automatic.
Functioning cruise control
Heated Seats.
Semi leather
Custom front bumper with LED fog lights
Fiberglass custom side...
Kwa anaejua kichina anisaidie,juzi kwenye pita pita zangu mitaani nikakuta nguo za mtumba zinauzwa nikanunua moja kubwa kwa lengo la kwenda Ku edit.Nilipofika home kuikagua mifukoni nikakuta coin...
JE wewe ni mfanya biashara ndogo ndgo, na mwana kikundi chchte ambacho kimesajiliwa au bado hakijasajiliwa na unataka uduma ya mkopo unakataliwa na benk kisa hamjasajili kikundi chenu?
Je wewe...
Kama habari inavyo jieleza, utapata mafunzo ya program mbalimbali za computer popote ulipo hapa DAR, pia matengenezo na ushauri wa kitaalam wa huduma za computer kwa bei rahisi sana, kwa maelezo...
NIMESHAIPATA HIYO PIK-UP ASANTENI SANA ===
NATAFUTA PICK UP,BEI SH MILIONI 4.5 NIPO CHALINZE,naweza kuja Dar kama ipo tayari.
natafuta aina ya toyota hilux,au nisana pickup,kama una brand...
Brethren,
Naamini kumekucha salama, naombeni msaada wa info ni wapi naweza kupata machine ya wheel alignment ya kununua, ikiwa kwa Tanzania tayari nitafurahi au kama unafahamu kampuni ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.