Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jupatie Kiwanja chenye ukubwa wa mita 20 X 20 maeneo ya Kidimu-Kibamba mpakani na Kibaha kwa bei nafuu ya sh. 2m. Barabara zipo hadi viwanjani. NB: Upimaji wa eneo hilo utaanza mda wowote kuanzia...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kwa anayeweza kukopesha 3m na arudishiwe milion moja na laki mbili kila mwezi kwa mda wa miezi mitatu.. Mkopaji ana kazi nzuri tu mwajiriwa Sema anahitaji mkopo wa haraka wa 3m ajazilizie kwenye...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama una- 1. mini-supermarket 2. Pharmacy 3. wholesale shop 4. Hardware 5. nk Umehangaika sana na mahesabu kujua faida na hasara mpaka upige hesabu mwisho wa mwezi hujui bidhaa gani zinaenda...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu mm nimekuwa mmoja Kati ya watu wanaoamini katika betting. Juzi jumamoc Nimeweka mkeka Wang meridianbet Kwa dau la elfu hamsin na possible winning ilikua million 26 nilijiachia kwa hicho kiac...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Nauza westpoint 3+1 cooker 50*60 wht bei ni lain 4 na 20. Halijatumika Kabisa. Phone + 255 717 246 284
0 Reactions
3 Replies
970 Views
Wakuu wasalaam, Kichwa cha habari chahusika, natafuta frem ya biashara iwe maeneo ya kinondoni, makumbusho, mwenge au tabata. Kwa mawasiliano zaidi nione pm. Nawasilisha.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwenye kuuza wakuu iwe husqvarna 268 urgently needed
0 Reactions
5 Replies
925 Views
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Preparation for the 2016 National Form Four Examinations for business studies begin saturday October 1st, 2016 at EABMTI offices Msasani Peninsular. We will conduct review classes for Commerce...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama unayo, nitumie specs zake, picha na bei kwenye whatsapp no. 0715812160
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sasa unaweza kujipatia vikoi bora vya kupikwa na kuprint kwa bei nafuu kabisa.sh.10000.tuwasiliane 0652480420
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sold
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wadau, Nauza lexus is200 bei ni 6 million 6 cylinders, Automatic. Functioning cruise control Heated Seats. Semi leather Custom front bumper with LED fog lights Fiberglass custom side...
0 Reactions
3 Replies
974 Views
Kwa anaejua kichina anisaidie,juzi kwenye pita pita zangu mitaani nikakuta nguo za mtumba zinauzwa nikanunua moja kubwa kwa lengo la kwenda Ku edit.Nilipofika home kuikagua mifukoni nikakuta coin...
0 Reactions
2 Replies
618 Views
JE wewe ni mfanya biashara ndogo ndgo, na mwana kikundi chchte ambacho kimesajiliwa au bado hakijasajiliwa na unataka uduma ya mkopo unakataliwa na benk kisa hamjasajili kikundi chenu? Je wewe...
0 Reactions
0 Replies
886 Views
Mwenye nyimbo za kundi la muziki maarufu kama Ngoni Tribe, naomba atusaidie hapa.
0 Reactions
0 Replies
547 Views
Kama habari inavyo jieleza, utapata mafunzo ya program mbalimbali za computer popote ulipo hapa DAR, pia matengenezo na ushauri wa kitaalam wa huduma za computer kwa bei rahisi sana, kwa maelezo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NIMESHAIPATA HIYO PIK-UP ASANTENI SANA === NATAFUTA PICK UP,BEI SH MILIONI 4.5 NIPO CHALINZE,naweza kuja Dar kama ipo tayari. natafuta aina ya toyota hilux,au nisana pickup,kama una brand...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Brethren, Naamini kumekucha salama, naombeni msaada wa info ni wapi naweza kupata machine ya wheel alignment ya kununua, ikiwa kwa Tanzania tayari nitafurahi au kama unafahamu kampuni ambayo...
0 Reactions
33 Replies
10K Views
Wakuu naulizia nitapata wapi laini ya ttcl nitumie kwenye simu yangu ?napatikana kigamboni dar es salaam
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom