Wolle Melkas Fernando
JF-Expert Member
- May 4, 2016
- 284
- 396
Uzinduzi wa Phantom 6 jijini Dar es Salaam ulikuwa ni wa Aina yake kutokana na umati mkubwa kufurika na kuwepo kwa burudani nyingi zilizotumbuiza.
Watu walipanga foleni ndefu kwenye mistari ili kujiwekea utaratibu mzuri na kila mmoja aweze kuifikia Phantom 6 na kutuliza kiu yake ya kumiliki simu hii 'amazing'
Katika uzinduzi huo wa TECNO PHANTOM 6, Pia ulichezeshwa mchezo wa bahati na sibu (Lucky Draw) ambapo zawadi kemkem zilishindaniwa kwa wote walionunua Phantom6, hata hivyo zawadi kubwa kabisa ilikuwa ni Kamera ya kupaa (Drone Camera) na kufuatiwa na TECNO WinPad10.
Tukio la uzinduzi wa Phantom6 lilinogeshwa zaidi pale washindi wa zawadi kubwa walipotangazwa. Washindi walikuwa wawili kama wanavyoonekana pichani huku kila mmoja akiwa ameshika zawadi yake.Washindi hawa hawakuamini kama kweli wameshinda. Walipokuwa wakishuhudia, waliuhakikishia umati kuwa hizi bahati na sibu za TECNO ni za kweli kwani hata wao walidhani kuna mshindi maalum amewekwa tu. Lakini ukweli ni kuwa hakuna jambo kama hilo na kusisitiza kuwa ni vizuri kushiriki bila kuwa na hofu.
TUNAWEZA KUSEMA PHANTOM 6 'NEVER SAY IT SHOW IT' MILIKI YAKWAKO!!
Watu walipanga foleni ndefu kwenye mistari ili kujiwekea utaratibu mzuri na kila mmoja aweze kuifikia Phantom 6 na kutuliza kiu yake ya kumiliki simu hii 'amazing'
Katika uzinduzi huo wa TECNO PHANTOM 6, Pia ulichezeshwa mchezo wa bahati na sibu (Lucky Draw) ambapo zawadi kemkem zilishindaniwa kwa wote walionunua Phantom6, hata hivyo zawadi kubwa kabisa ilikuwa ni Kamera ya kupaa (Drone Camera) na kufuatiwa na TECNO WinPad10.
Tukio la uzinduzi wa Phantom6 lilinogeshwa zaidi pale washindi wa zawadi kubwa walipotangazwa. Washindi walikuwa wawili kama wanavyoonekana pichani huku kila mmoja akiwa ameshika zawadi yake.Washindi hawa hawakuamini kama kweli wameshinda. Walipokuwa wakishuhudia, waliuhakikishia umati kuwa hizi bahati na sibu za TECNO ni za kweli kwani hata wao walidhani kuna mshindi maalum amewekwa tu. Lakini ukweli ni kuwa hakuna jambo kama hilo na kusisitiza kuwa ni vizuri kushiriki bila kuwa na hofu.
TUNAWEZA KUSEMA PHANTOM 6 'NEVER SAY IT SHOW IT' MILIKI YAKWAKO!!