Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta nyumba maeneo ya upanga Dar es Salaam.Iwe na master bedroom moja,bedrooms za kawaida ,sebule na jiko.kama ipo naomba uje PM.
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Nauza toyota sprinter Milion 4.5, maongezi yapo. 0745525556 0717935186
0 Reactions
0 Replies
885 Views
tigopesa 240000 mpesa 150000 airtel money 95000 zipo active ni kuchukua na kuanza kazi moja kwa moja 0712191251 for serious buyers
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habar. . Nahtaji Graphic design anayejitegemea asiwe ameajiriwa afanye kazi za kampuni yangu ya Entertainment.....kama tutaelewana atakuwa ndani ya kampuni. .. Awe updated na m bunifu" kazi kubwa...
2 Reactions
0 Replies
698 Views
kwa mahitaji ya magari nyumba na viwanja ncheki kwa no 0628353336 au ntext 0719702658
0 Reactions
0 Replies
599 Views
Rafiki yangu anauza mashuka ya mtumba safi sana, mazuri ya grade ya juu kwa bei nafuu sana. Kwa kutaka sample whatsapp 0716053305. Bei maelewano
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu Nauza gari aina ya pajero io(GDI) _Ya Mwaka 2002 _ Colour, Black _1500cc _ Mileage,211,000km _Bei ...million 9. Gari ipo ktk condition nzuri...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Habari zenu wana jamvi. Rejea kichwa cha habari hapo juu shida yangu ni kwamba natafuta kitabu cha hapo pichani kama wewe mkazi wa Dar Es Salaam unaweza kunitajia sehemu wanayouza hiki kitabu...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Heri ya Mwaka Mpya 2016, WanaJF Tafadhali naomba mnielekeze Fundi Bingwa Wa Gari za Aina ya Nissan Xtrail. Nipo Dar es Salaam Tafadhali naomba mniwekee hapa Namba zao Tafadhali. Nitawashukuru Sana.
0 Reactions
29 Replies
47K Views
shamba liko morogoro sehemu inaitwa lupilo hekari 12 kwa sh m 7 tu jamani namba 0628353336
0 Reactions
3 Replies
884 Views
kwa mahitaji ya hivyo vitu ntafute kwa namba 0628353336 au tuma sms 0719702658
0 Reactions
0 Replies
485 Views
kama unavyo nitafte pm ili tuweze kufanya biashara.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza kiwanja kipo Kisemvule(Mbagala) kina hati.,ukubwa 100*50,kutoka barabara kuu kama km1.5,bei tunaanza 5.5m,maelewano yapo nipigie 0716792692,Asanteni.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Tunafundisha masomo yafuatayo-: 1.Economics (Cambridge & Nectar syllabus) 2.Accountancy 3.Business studies(Commerce) 4.Geography (O'level&A'level) -Tupo DSM, call;+255763479113.
0 Reactions
0 Replies
547 Views
Sabakheri wadau natafuta soko la sungura weupe na weusi ninao 527. wapo morogoro mjini. bei maelewano kama unalifahamu soko nijuze hapa au kwa simu 0674128230
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, natafuta rear spoiler ya Toyota Altezza ile iliyonyanyuka kama inavyoonekana kwenye attached photo. Mwenye nayo tuwasiliane PM tafadhali
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari zenu wanajamvi, Naomba kujua wapi nitapata vifungashio vya plastiki vya kuwekea ubuyu, visheti n.k kwa hapa Arusha. Asanteni
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari za jioni wana JF, Naomba msaada wa watu wa Arusha au uishie nje ya Arusha natafuta mawasiliano ya watu wa Redio za Arusha mfano Sun rise na Triple A Nina shida nao sana ninaomba msaada wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za leo? Nahitaji kununua hard disc mpya au iliyo kwenye hali nzuri iwe na uwezo si chini ya GB300. Mwenye nayo tuwasiliane,nipo Arusha.Mawasiliano 0752489529
0 Reactions
0 Replies
571 Views
Wakuu habari nipo dsm naitaji freezer lenye display ya kioo kama hii hapo pichani kama unayo tuwasiliane.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom