Ni chumba na sebule self. Nililipia miezi minne ila nimehamishwa kikazi nataka kuondoka. Utanipa jumla 350,000/= kwa miezi minne ambayo nilishalipia.
Kama unahitaji nicheck 0687 418 218.
Kama kicha cha Habari kinavyojieleza: nauza kuku wa mayai bei 12000 tuu.
Nipo maeneo ya kitunda (Dar es salaam)
Kwa mawasiliano namba 0784860715 au 0719158510
Karibu!
Habar wakuu natafuta kiwanja cha kujrnga Nyumba ya vyumba vinne, chooo bafu,sebule, dining, pia pabaki nafasi ya paking na garden bajey yangu ni mil moja na nusu maeneo nyegez,buhongwa igoma,na...
naomba kwa anaejua ukulima wa uyoga nahitaji msaada kwa hili
natamani sana ukulima wa zao la uyoga napenda iwe ajira yangu kupitia uyoga sababu huku nakotoka vijana wamejikita zaidi kwa ufugaji na...
Habar wapendwa.nauza mikanda ya kupunguza tumbo ambayo ni ya mtumba.wiki moja tumbo halipo.imewasaidia watu weng sana hasa wamama waliotoka kujifungua.naleta popote ulipo.bei ni 25000.napatikana...
Hjambo rafiki!
Ninauza Jogoo wenye kilo kati ya 3.5-5 kg kwa shilingi 20,000 tu. Hawa ni kuku watam sana na wa kienyeji wenye asili ya Malawi, Ninapatikana Kimara Temboni mataa wa Saranga, waweza...
Wakuu kuna MTU anauza water pump kwa Tsh. 200,000/= ameutumia mwezi mmoja na anauza kwa sababu anashida na fedha kwa dharura
Inatumia. Petroleum
Inch 2
[emoji419] UTANGULIZI
[emoji117] Hivi unajua kwamba afya zetu zinategemea kabisa na hali zilivyo za utumbo wetu ???
Ngoja nikujuze sasa, Pindi mtu anapoamua kuishi maisha ambayo yanahatarisha...
Viwanja vilivyokatwa tayari na kutengwa mitaa vinauzwam hakuna dalali, vinapakana na Shule na zahanati ya Zingiziwa, vipo Barabarani kabisaa, kila kimoja ni 2.8, kwa wanunuzi wa uhakika karibu PM
Poleni kwa majukumu wadau.
Naomba kujua kampuni ambayo inatoa usafiri wa kukodi kwa magari ya abiria hasa coaster kwa mkataba kwa hapa Arusha na ofisi zao zilipo.
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.