Wandugu,
Kama kuna mtu anauza kiwanja chenye hati maeneo ya Salasala, Wazo, Makongo juu, Boko au Goba naomba ani PM tufanye biashara. Ningepende kiwanja kiwe kimepimwa. Bejeti yangu ni chini ya 8m.
Km kuna mtu yoyote aliyekwisha wahi kununua au kufanya biashara kupitia mtandao wa dhgate.com, naomba experience yake tafadhali coz kuna vitu nataka ninunue lkn sijajua naanzia wapi
Kama unaishi Dar na unahitaji dada wa kazi wasiliana nami nikuunganishe nae sasa hivi,
~Ni mwenyeji wa dodoma_mpwapwa
~umri=20yrs
Mazingira ya kazi:
~Aishi kama mwanafamilia mwingine bila...
HIYO MOVIE(IGIZO) INATOKA JUMATATU TAREHE 26 LAKINI INAANZA KUONYESHWA SIBUKA MAISHA TAREHE 23 NA 24 THEN NDIPO IINGIE MTAANI TAREHE 26.
big up think tanks wa Bongo movie maana tushazoea films za...
(SIMU IMESHAUZWA)
Nauza simu aina ya HTC ONE MAX no 7 0928 01 yenye sifa zifuatazo<br />1. Aina ya simu: htc one max<br />2. Kioo: super lcd 3, 16 M multicolours<br />3. Saizi: 5.9 inches<br />4...
Product Highlights
MODEL: 40H5003
Multi-System Compatible
Full HD 1920 x 1080 LED Panel
Clear Motion Rate 120 Technology
Wide Color Enhancer Plus
Samsung ConnectShare Movie
Soccer Sound and...
Habari wanajukwaa!!!
Natafuta PS2, PS3 & PS4 (used) za mtumba,
Pamoja na CD:
Fifa 16/17
Kwa bei "NAFUU" Sihitaji mpya.... nataka used ambazo hazina TATIZO, lolote kabisa!!!
Kam mtu anazo kati...
Looking for a cheap laptop, natafuta laptop aina ya Lenovo yenye bei ya chini iwe ina support GTA V, Graphics Card nzuri na iwe fast kwenye internet na iwe Brand New nitanunulia wapi?
Habari wanajukwaa!!!
Natafuta PS2, PS3 & PS4 (used) za mtumba,
Pamoja na CD:
Fifa 16/17
Kwa bei "NAFUU" Sihitaji mpya.... nataka used ambazo hazina TATIZO, lolote kabisa!!!
Kam mtu anazo kati...
Mi nina usafiri wangu aina ya boda boda, nipo dar es salaam Mwenye biashara ya nyama au samaki naomba tuelewane niweze niwe nakusambazia kwa wateja wako malipo ya usafir ni maelewano namba yangu...
Habari wakuu kama nilivyosema mdogo wangu anakojoa kitandani mpaka leo hii yupo form 1 tumempeleka boarding lakini tatizo bado lipo mpaka leo hii hadi walimu wanataka kumrudisha nyumbani
Habari, nauza shamba langu lipo mwarusembe kijiji cha mkiu ni heka 120 kila heka ni 700,000. Naanza kukata kuanzia heka tano, karibuni. Kwa mawasiliano 0627748402
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.