GARI COROLLA AE100 INAUZWA . INA VIBALI NA KILA KITU IMELIPIWA
Haidaiwi iko katika hali nzuri
Bei 3,500,000/= maongezi yapo
kwa mwenye kuipenda anicheck kwa whatsapp 0718 019 595 au CALL
Ni Chumba Masta na Sebule, haina jiko, Maji ya dawasco yapo, Fensi Ipo, Wapangaji watatu ndani ya fensi.
Wasiliana: 0713226191
Bei Tshs 200,000/Mwezi, Kodi ya Miezi6 inatakiwa.
nyumba mpya inapangishwa ipo iringa mjini, eneo linaitwa gangilonga. kama una uhitaji na nyumba ya kupanga tuwasiliane kwa namba 0784414887 (namba hii ni ya mmiliki wa nyumba iyo na sio dalali)
Habari wakuu. Now bei imepungua, bei ya mwisho ni 15 mill.
Unfinished house
Vyumba vitatu vya kulala na kimojawapo master
Sebule na jiko
Gari inafika mpaka kwenye Nyumba.
Well located with lovely 3 bedrooms.On paved compound,ample parking space with a 1000sqm surveyed plot(title deed).All Utility services(tap water & electricity) available.2kilometres from Bagamoyo...
Nimeleta vifaa vipya na vya kisasa kwaajili ya kunyweshea maji kuku wako, huna haja tena ya kwenda kuweka maji bandani. Kifaa hiki una connect toka kwenye tank yako ya maji na kuku anakuwa...
2GB RAM
16GB internal storage capacity
5.5 inches screen
Colour -black
2600 mAh Li-Ion
13 mp led flash back camera
5mp with led flash front camera
Ina warranty ya mwaka mmoja,imetumika miezi 4...
Habar zenu wana JF, Natafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba vyumba 3,choo&bafu, jiko na dining na sitting pia kibaki na nafasi ya parking na garden. Kiwanja kiwe maeneo yoyote ya Dodoma au Mwanza
Hii mashine haijawahi tumika ni mpya...inaingia kuku 30 na ukawa grill(kuwachoma)
Inatumia gesi......
KwA mawasiliano 0715 591141 dar
Bei yake inauzwa 3,000,000/
Karibuni
Wakuu heshima zenu.Nyumba inapangishwa maeneo ya mbezi Msakuzi njia ya mpigi magohe.Ipo kwenye hatua za mwisho za ujenzi.Ina vyumba 3; dinning; sebule; jiko; master moja self na public toilet.Pia...
NYUMBA inauzwa ipo kinondoni B nyuma ya mahakama mtaa wa msisiri milioni 70.Maelewano yapo ina vyumba vitatu ndani na sebule na inamabanda ya uwani.Haina hati ila inakibali cha serikali za mitaa...
Nimeona niwakaribishe kwenye hii kampuni ya aina yake inayofanya biashara ya mtandao.
Mtanzania wa kawaida kabisa unakaribiahwa kwenye hii fursa. Waliowengi watakupa negatives kuhusu hii biashara...
Yard inapangishwa Kurasini, karibu kabisa na Bandarini. Ina eneo la sqm 3300. Bei ya kuanzia ni $ 7000kwa mwezi lakini tunaweza kuongea.
Tuwasiliane binafsi kwa maelezo zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.