Mwehu Mweusi
Member
- Aug 14, 2016
- 5
- 0
Desktop yangu ilikufa motherboard nikaamua ninunue PC mpya, nimebaki na vifaa vya ndani so kama unataka kuzipa kazi tena HDD na RAM ya 2GB(Micron MT8JTF25664AZ-1G6M1 1Rx8 PC3-12800U) nishtue 0765478513(sio whatsapp) halafu ntakusogezea mwenyewe popote ulipo (ndani ya DAR) any time
detail zake kwa wataalamu(nerds) ▶▶▶
siku njema wanaintaneti
detail zake kwa wataalamu(nerds) ▶▶▶
- 7200 RPM 16MB Cache
- SATA 6.0Gb/s
- zaidi ya hapo unahitaji nini kwenye computer ya kawaida
siku njema wanaintaneti