Kiwe na Hati
Natafuta Kiwanja kuanzia tangibovu hadi ununio nikimaanisha ukanda huu wa beach. Taja bei ya muuzaji upige hela kuliko kuweka bei za udalali
Chenye ofa nzuri kitazingatiwa
Call...
Mwanzoni niliwahi kusema dawa ya kutibu nguvu za kiume duniani haipo, au ipo isipokuwa ni chakula tu na kuishi maisha bora ndio suluhisho pekee na msimamo wangu haukubadilika.
Nilipoona...
Habari wakuu.
Moja ya kazi za mwalimu ni kusahihisha(marking) na kupanga matokeo. Okoa muda wa kufanya zoezi hili kwa kutumia Ms excell iliyoratibiwa ambapo wewe utarekodi Jina na marks tu za...
Sasa unaweza pata WEBSITE &BLOG kwa Bei NAFUU.
Utapata HOSTING ya mwaka na DESIGN ya uhakika kuanzia 150,000/= kwa mwaka mzima, tuna uzoefu wa kutengeneza WEB BASED SYSTEM na mobile Apps...
Tunatoa mikopo kw watumishi/wafanyakazi wa serikali dr es slaam kwanzia laki mbili mpka million kumi. Malipo ni kwanzia miezi sita mpaka miaka mitano. Riba yetu ni 18% kwa mwaka. Masharti ni uwe...
Kwa mahitaji ya second hand(used) containers tunawakaribisha kuwasiliana nasi. kontena ziko katika hali nzuri na utapewa documents zote including TRA receipt.
location; New National Building 1st...
tunatengeneza paving brick kwa tsh. 150 na kuzipanga kila moja kwa tsh. 150 gharama hiyo pamoja na landscaping na mashine ya kushindilia (compactor machine) tufollow instagram hibiscus interior...
Refractometer : kwa ajili ya kupimia juisi, wine, tomato sauce etc inarange ya 0-30 degree brix: Bei 350000
Mzani mdogo...range kuanzia 0.001g-50 gm kwa ajili ya kupimia preservatives na food...
Kutoka Tecno Phantom itaweza kuchuana na simu vinara duniani? | Bongo5.com
Soko la simu za mkononi barani Afrika lina maelfu wa watengenezaji ambao wamekua wakishindana kila siku kumiliki soko...
Make easy money by simply registering and follow instructions (Jitengenezee pesa rahisi kwa kujisajili na kufata maelekezo): Click Youthnize.com Earn 10$ per 10 seconds tasks, Earn 2000$ monthly...
UZITO ULIOPITILIZA (overweight & Obesity) INA ATHIRI CHANCE YA KUTUNGISHA MIMBA KWA MWANAMKE.
Kama una mpango wa kubeba Mimba inabidi utambue kuwa Overweight au Underweight kuna athiri chance...
habari za kutwa wana jamvi. nauza kabati la kioo kwa sh 150000
linahitqjika matengenezo kidogo sana hapo pembeni ukiliangalia vizuli kuna tundu yaani kioo kilipasuka. kabati linapatikana mabibo...
Majiko ya mkaa mazuri mno kwa matumizi yako na familia.. hutumia mkaa kidogo mno, inasave matumizi ya mkaa kwa asilimia 50-60 na yanadumu.. karibu uchukue lako kwa sh 65000 mpk 95000. Tupo...
Heshima zenu wakuu,
Nipo Arusha mjini najishughilisha na uzambazaji wa vyakula vya mifugo, nimeweka Uzi huu ili tuweze kupeana taarifa za bei na upatikanaji wa Pumba za Mahindi ktk sehemu...
Infinity works, tunatengeneza madirisha, milango, partition za ofisi, maduka ya madawa, makabati kwa kutumia alluminium.
Tumehamishia ofisi toka tegeta kwa ndevu kwa sasa tuko tegeta njia ya...
Kuna viwanja vinauzwa maeneo ya kigamboni vinatizamana n AVIC TOWN
umbali kutoka city center ni 26 KM.na kutoka njia kuu y kimbiji kwenda kwenye viwanja ni 3 KM TU.Vipo vilivyo pimwa vitatu tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.