Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu Mimi ni mtaalamu niliyebobea kwa masuala ya Google AdSense na Facebook multi poster, Ninatengeneza AdSense account kwa bei Nafuu kabisa. Pia natengeneza mifumo kama vile Facebook multi...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Yawezekana wewe ni Mjasiriamali, Mbunifu, Mwanateknolojia, ama Mtatuaji wa changamoto mwenye uraia wa Tanzania ? ambaye unatamani kubadilisha maisha ya watu haswa katika upande wa Afya vijijini na...
0 Reactions
0 Replies
630 Views
Salaam wakuu. Kama heading inavyojieleza hapo nahitaji viti (kununua)vile vya chuma vinavyotumika kwenye shughuli mbali mbali...kama kuna mwenye leads namna au maduka vinapopatikana(dar) nitashukuru
0 Reactions
0 Replies
4K Views
[emoji625]Samsung J5 Mpyaa [emoji625] Tsh 389,999. OFA OFA OFA [emoji457]4G" [emoji328]Kamera ya mbele 5MP [emoji328]Kamera ya nyuma 13MP [emoji332]16GB memory [emoji336]kioo 5.1...
0 Reactions
2 Replies
975 Views
ipo vizuri ram 1gb storage 8gb os lolpop bei 380000 piga 0628353336
0 Reactions
2 Replies
606 Views
Nauza kiwanja changu mil 1 tu. Ukubwa wa kiwanja ni futi 50/100. Kiwanja kipo Ikwiriri, kijiji cha mgomba kitongoji cha jitegemee. Piga 0625667292.
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wadau, samahani kwa yeyote anaejua upatikanaji wa fridge ya cocacola au pepsi anisaidie nmefungua biashara lakin nashindwa kufanya biashara kwa wiredi kwa sabaubu ya FRIDGE. AKSANTE
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Natafuta tajiri anaenunua blue copper ni check 0621003071
0 Reactions
0 Replies
500 Views
Wasiliana nasi 0754 567120 kwa mahitaji ya Mbolea ya Kinyesi Cha Kuku jijini Dar es salaam.
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Anaeuza acetone kuanzia lita moja tuwasiliane 0717550291
0 Reactions
0 Replies
670 Views
MILIAGE 89000 Cc 1290 BEI YA KUUZWA 9 MILION..MAONGEZI KIDOGO YAPO GARI HAIDAIWI,IKO FULL KILA IDARA KWA MTU AMBAYE ATAVUTIWA NAYO KUIONA NA KUFANYA BIASHARA TUWASILIANE KUPITIA # HII..0715591141DSM..
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Wapendwa mwenye kujua bei tusaidiane
1 Reactions
15 Replies
7K Views
sony experia c3 ipo vizuri kabisa bei 380000 ram 1gb storage 8gb os lolpop
0 Reactions
2 Replies
546 Views
habari za muda huu waungwana. kuna jamaa yangu amekuwa akiniuliza kama kuna mtu nayemfahamu mwenye maji mekundu(mercury) yenyewe anahitaji bei poa. Sasa mwenye hiyo kitu anicheki pm.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Hallow wadau naomba kujua mahali zinapouzwa mashine ya popcorn hii inayotumia baiskeli pamoja na jiko la gesi.. Naomba kujua bei yake na mahali zilipo nipo dar... Asanteni
1 Reactions
1 Replies
995 Views
Msaada, Nahitaji kukodisha gari kati ya haya kwa siku moja, BMW au range rover sport kwa ajili ya harusi. Aliye na access anipe gharama yake na contact .
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari Wanajamii, Viwanja vinauzwa maeneo ya Salasala karibu na sehemu inayoitwa mwisho wa lami. Ni hatua chache kutoka hapo mwisho wa lami na nimeorodhesha Plots zinazouzwa na ukubwa wake hapo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
CCTV security 4 Camera Package 2 indoor,2 outdoor,4 channel DVR,adapters for camera,coaxial cable with Pins and 1 TB hard drive @ Tsh 850,000 only Piga 0688726110
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF....Habarini Mimi nataka kuwa mkulima mzuri wa mhogo na nataka kuuza unga wa mhogo ulio mweupe kama unga wa ngano (Kivunde).....Nipeni sasa soko lake ikiwezekana na bei ya kila mahali ili...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nauza gari Mercedes Benz Zile benz ndogo kama Vitz Bei Tsh 4'500'000/= tu Haina udalali Rangi ya Blue ipo ktk hali nzuri Ikiwa unahitaji tuwasiliane kwenye PM Kwa majadiliano kwenye public...
0 Reactions
27 Replies
13K Views
Back
Top Bottom