Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja kinauzwa Eneo: kipo MWANZA- KISHIRI. Ukifika kishiri unashuka sehemu inaitwa Chadema, ukishuka ili kukikuta Kiwanja unatembea dk 15. Kiwanja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naombeni msaada nitapata wapi machujio ya asali yanayoweza kuchuja asali fasta, kuna asali yangu hapa nimenunua ndoo nzima lakini siwezi kuichuja
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tecno C9 350000 Tecno j8 330000 Tecno c8 270000 Tecno pad8 11 370000 Tecno l8 plus 240000 Tecno w4 180000 Tecno w3 170000 Tecno w3lit 180000 Tecno y2 100000 Samsung j2 270000 Samsung j1ice...
2 Reactions
47 Replies
11K Views
Kiwe na Hati Natafuta Kiwanja kuanzia tangibovu hadi ununio nikimaanisha ukanda huu wa beach. Taja bei ya muuzaji upige hela kuliko kuweka bei za udalali Chenye ofa nzuri kitazingatiwa Call...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mwanzoni niliwahi kusema dawa ya kutibu nguvu za kiume duniani haipo, au ipo isipokuwa ni chakula tu na kuishi maisha bora ndio suluhisho pekee na msimamo wangu haukubadilika. Nilipoona...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wakuu. Moja ya kazi za mwalimu ni kusahihisha(marking) na kupanga matokeo. Okoa muda wa kufanya zoezi hili kwa kutumia Ms excell iliyoratibiwa ambapo wewe utarekodi Jina na marks tu za...
0 Reactions
0 Replies
685 Views
Sasa unaweza pata WEBSITE &BLOG kwa Bei NAFUU. Utapata HOSTING ya mwaka na DESIGN ya uhakika kuanzia 150,000/= kwa mwaka mzima, tuna uzoefu wa kutengeneza WEB BASED SYSTEM na mobile Apps...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunatoa mikopo kw watumishi/wafanyakazi wa serikali dr es slaam kwanzia laki mbili mpka million kumi. Malipo ni kwanzia miezi sita mpaka miaka mitano. Riba yetu ni 18% kwa mwaka. Masharti ni uwe...
1 Reactions
0 Replies
601 Views
Kwa mahitaji ya second hand(used) containers tunawakaribisha kuwasiliana nasi. kontena ziko katika hali nzuri na utapewa documents zote including TRA receipt. location; New National Building 1st...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
tunatengeneza paving brick kwa tsh. 150 na kuzipanga kila moja kwa tsh. 150 gharama hiyo pamoja na landscaping na mashine ya kushindilia (compactor machine) tufollow instagram hibiscus interior...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Refractometer : kwa ajili ya kupimia juisi, wine, tomato sauce etc inarange ya 0-30 degree brix: Bei 350000 Mzani mdogo...range kuanzia 0.001g-50 gm kwa ajili ya kupimia preservatives na food...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kutoka Tecno Phantom itaweza kuchuana na simu vinara duniani? | Bongo5.com Soko la simu za mkononi barani Afrika lina maelfu wa watengenezaji ambao wamekua wakishindana kila siku kumiliki soko...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Make easy money by simply registering and follow instructions (Jitengenezee pesa rahisi kwa kujisajili na kufata maelekezo): Click Youthnize.com Earn 10$ per 10 seconds tasks, Earn 2000$ monthly...
0 Reactions
4 Replies
809 Views
UZITO ULIOPITILIZA (overweight & Obesity) INA ATHIRI CHANCE YA KUTUNGISHA MIMBA KWA MWANAMKE. Kama una mpango wa kubeba Mimba inabidi utambue kuwa Overweight au Underweight kuna athiri chance...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari za kutwa wana jamvi. nauza kabati la kioo kwa sh 150000 linahitqjika matengenezo kidogo sana hapo pembeni ukiliangalia vizuli kuna tundu yaani kioo kilipasuka. kabati linapatikana mabibo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Majiko ya mkaa mazuri mno kwa matumizi yako na familia.. hutumia mkaa kidogo mno, inasave matumizi ya mkaa kwa asilimia 50-60 na yanadumu.. karibu uchukue lako kwa sh 65000 mpk 95000. Tupo...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Heshima zenu wakuu, Nipo Arusha mjini najishughilisha na uzambazaji wa vyakula vya mifugo, nimeweka Uzi huu ili tuweze kupeana taarifa za bei na upatikanaji wa Pumba za Mahindi ktk sehemu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Infinity works, tunatengeneza madirisha, milango, partition za ofisi, maduka ya madawa, makabati kwa kutumia alluminium. Tumehamishia ofisi toka tegeta kwa ndevu kwa sasa tuko tegeta njia ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna viwanja vinauzwa maeneo ya kigamboni vinatizamana n AVIC TOWN umbali kutoka city center ni 26 KM.na kutoka njia kuu y kimbiji kwenda kwenye viwanja ni 3 KM TU.Vipo vilivyo pimwa vitatu tu...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Kuna mtanzania mwenzangu humu anafanya hii biashara? Kuna maelezo machache ningependa kupata. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
680 Views
Back
Top Bottom