Lipo umbali wa kilometers 13 kutoka Barabara ya lami
Linauzwa million 25 zipo hekali 52
Linapatikana njombe ktk kijiji cha iboya
Kwa mawasiliano zaidi npigie 0764426929,0655726929 na whatsap...
Nauza Mira screen kwa ajili kwa ajili ya kusupport simu au laptop kwenda big tv screen .ipo full HD 1080 wale wazee wa mobdro na games etc hii itawafaa bei ni 60000 tuu offer kwa jamii forum...
Viingilio Fiesta Dsm
Uwanja Leaders Club
November 5 2016
Kwa Tigo Pesa 19000
Kununua tikek Kwa mawakala 20000
Ukisubili Ununue Getin 25000
Kuna Watu wanalalamika maisha magum Ila siku iyo...
Habari rafiki?
Hongera kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo, ni siku nyingine nzuri kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa kwenye kile ambacho umechagua kufanya. Tumia muda wa leo vizuri rafiki...
Iko katika hali nzuri kabisa inatembea na haina tatizo lolote. Imeshatembea Km 74600. Gari ni namba ni CGX.
Bei yake ni mil 14.
Gari ipo Dar es Salaam. Kwa mawasiliano...
Ni mpya kabisa/brand new.!!!
Details na Specifications zake ni Kama Ifuatavyo...!!!
1gb RAM, Dual Sim Card,
SD Memory Card Slot,
Bluetooth, Wi-fi,
2megapixel front/back camera,
16Gb storage...
Tunafunga Electric fence na Gate motor majumbani na ofisini kwa ulinzi.Pia tuna andaa Quotation Bure kabsa kwa Maelezo zaidi unaweza kufika ofisi kwetu tunapatikana Kariakoo Karibu na Benk ya NMB...
.....Nauza fridge aina ya Lg limetumika miezi minne.. Nipo Dar es salaam... Bei ni 500,000.. Nimeambatanisha picture zake kwa chini... Kwa mawasiliano zaidi unaweza kunicheck kwa number 0713...
Habari zenu wakuu,
Hii ni habari njema kwa wale wenye matatizo sugu ya uzazi, kuna clinic mpya imefunguliwa inajihusisha na mambo ya upandikizaji(IVF) kwa kina mama ambao hawawezi kupata ujauzito...
Tunafunga gate motor na electrical fence majumbani pia office kwa pia nafuu na tunakuandalia quatation bure kabisa kwa maelezo zaidi unaweza kufika katika ofisi zetu tunapatikana Kariakoo mtaa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.